Mh Waziri changamoto ninyingi Kwenye hospital hii lkn Kubwa kuliko zote nikwanini huduma ya X ray lazima twende Kwenye kituo binafsi cha X ray Center ? au serikali Inahisa hapo ? au nidili ya Watu ? Onyesha Uzalendo wako kwenye Kupunguza Changamoto kwenye taasisi za Uma Ili tuendelee Kuiunga...
Kwa speed ya serikali hii ni aibu Kushuhudiwa kwa Matendo ya Mkulugenzi huyu?Taasisi zinazohusika na Uchunguzi nendeni Mkaanzie na Mchakato wa zabuni za Ujenzi Unaondelea Makampuni yasiyo na sifa Yanapewa Kazi kila Mwaka yanalipwa na hayamalizi Kazi.
Sakata la Kugomea Magali ya serikali...
Hakika Wakurugenzi Wengi wanafanya Kazi kwa Mazoea Wanajifanya hawaoni Speed ya Serikali hii ya Awamu ya 5,Waziri Mkuu Mulika Halmashauli ya Walaya ya Monduli na Mchunguze Mkulugenzi Wake?Tuma Watu wa Usalama Wakutafutie Muhutasali wakikao Cha Kamati ya Fedha Cha Ijumaa Uone Madudu na Upate...
Rais Magufuli Imulike Wizara ya Maliasili na Utalii...Tumia vyombo vyako vya Ulinzi na Usalama Kujua baadhi ya Vigogo wachama na serikali walio na Ubia au hisa kwenye Makampuni ya Utalii hapo Ndio Utaweza Kupambana na Ujangili na Kuzuia Utoroshwaji Wawanyama Pori Hai.
Kuwasimamisha kazi tu...
Tena Halmashauli Iko chini ya Ukawa lkn yanayofanyika ni Aibu lkn kwakuwa serikali sasa Ipo kwa Ajili ya Wananchi tunawajibu Wakupaza sauti Ili Kila Mwenye Wajibu Wakututumikia Awajibike Kwa Ujenzi Wa Tanzania Mpya
Baada ya Watumishi Wa Idara ya Ardhi Kusimamishwa Kazi,Limejitokeza hili la Viongozi wa Halmashauli pamoja na baadhi ya Madiwani Kwa Maslahi yao Binafsi Kupinga TEMESA kufanya Matengezo ya Magari na Mitambo Ili Kuhakikisha Watu wao Wanapata Dili hiyo.
Ukimya wa Waziri husika wa Tamisemi Umezidi...
Hongera maalim Seif kwakusimamia maamuzi ya wazanzibar ,Wananchi walishaamua October 25 ...aliyefuta matokeo kwenye uchaguzi uliopita atawezaje kutenda haki kwenye Uchaguzi wa marudio ?
Ilishatangazwa wakati IGP Mwema anastaafu kuwa Kova nae alikuwa anastaafu lkn akapewa Mkataba hadi Uchaguzi Mkuu Upite, sio kweli anamiaka 45 wakati wowote kuanzia sasa atakabidhi Ofisi au hujasikia Tangazo la Waziri Wa utumishi?
Kama Mtanzania Mzalendo kwanza Nianze Kwakukupongeza Kwajinsi Ulivyoanza Kazi Yakuliongoza Taifa Letu... Rais Wangu Natamani Mungu Akupe Busara na Hekima zakumaliza Mgogoro wakisiasa Wa Zanzibar na Mshindi Wa Uchaguzi Huru na Wakidemokrasia Wa October 25 Atangazwe Ili Wazanzibar Kwa Umoja Wao...
Mbona bado Traffic Wengi mmezidi Kuendekeza Rushwa bila Aibu... Rais Magufuli toa Maelekezo Kikosi cha Usalama barabarani kisiwe na Askari wakudumu Ili kiendane na speed yako... lkn pia Kuepusha Matabaka ndani ya Jeshi la polisi nakuleta dhana ya Usawa... Ifike wakati tuwaone watoto Wa vigogo...
Rais magufuli Watanzania wana Imani na wewe lkn sio Chama chako, Wengi hatukukuchagua kwasababu Tulijua Mfumo CCM utakukwamisha lkn Umejitahidi Kuanza vizuri... Mh rais akili zakuambiwa changanya nazakwako Usiogope mashinikizo ya Chama chako Wananchi Wako Upande wako Endelea kuwa Jasiri...
Rais Magufuli nchi yetu Imeharibiwa na Utawala Wa JK jiepushe na Ushauli wake atakukwamisha... Mimi binafsi nitapima Uzalendo wako na Sera yako yakubana Matumizi ya serikali siku Ukianza ziara za Mikoani Je, Utafikia Hotelini nakuacha Majengo ya serikali yakiwa Magofu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.