Chris Lukosi ni mtu wa ajabu sana, kwanza alitoa clip mbili kuishambulia Bandari na Serikali ya awamu ya sita halafu akatoa clip nyingine kusema kuwa kaongea na uongozi wa Bandari na kila kitu kiko sawa akasema serikali yetu Sikivu,
Juzi kamtuma mtu mwingine aongee kwenye clip kuishambulia...
Huyo alitakiwa kusema best league. Sio premier league. Nfano unapitaka kusema ulaya lazima useme best league ulaya ni premier league, au la liga, au championait. Huwezi sema best premier league ya ulaya ni la liga. Kiingereza raihis sana ukikielewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hao wengine pia wanaita premier league. Alitakiwa kusema best league. Mtoa mada anajua ligi dara la kwanza dunia kote zinaitwa premier league. So sad
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hueleweki. Umeandika upupu tu. Premier league ni jina la league ya uingereza. Ulitakiwa useme best league. Hapo ni sawa useme labda league ya ufaransa is the best premier league in europe, au league ya spain is the best premier league in europe. Umefeli hapo ilibidi nisome mara 5 ndio...
Mkuu ukae ukijua kwamba ndoa au kuoana ni utamaduni wa waislam. Wanamfuata kiongizi wao mtume. Wakristo wanaoana wanamfuata nani wakat yesu hakuoa? Ndio maana wakristo wanabuni buni tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Post financial specialist mkuu mozambique huko kwenye miradi ya gesi. Hapa maisha yashakuwa sio inabidi kujiongeza. Kila kitu kishakuwa kigumu hapa. Dah
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.