Andiko zuri sana,ila alietoa amri ya kutokufanya mvt alisaidia maana ile petrol ya tunduma ingesogea mpaka Iringa hali ingekuwa mbaya ya Arushq ingeenda moshi mpaka Tanga mwanza ingeenda shinyanga Tabora hata vyombo vya usalama vingeshindwa
Watu wengi huwa wakiona tu card ya ndugu yao wanahis bank kuna hela kumbe sivyo muda mwingine,ndio sababu muda mwingine kabla hujajihangaisha jaribu kujua marehemu aliacha kias gani
wakati tuko wadogo mimi na dada yangu tulikuwa tunapenda kukaa dirishani tunaangalia wapita njia maana nyumba yetu haikuwa na uzio,sasa kuna kaka akawa anapita anajamba haa tulicheka sana hiyo siku sasa tukawa kila tukionana naye hatuna mbavu
Ili bank iweze kuuza dollar ni lazima ipate mtu anaeuza dollar inunue kwake ndio iweze kuuza so haijalishi hiyo hela ni hard cash or not so kinachotokea saiv ni kwamba dollar zinakuja kwa kiasi kidogo na wakati importation ni kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.