Shida mnaoongea kitu ambacho hamkijui, hakuna Mkristo duniani kote anasema Israel Kuna wakristo wengi, ila Angano la Mungu kwa Wanaisrael halitatenguka. Biblia inasema wamefanywa Waisraeli wasiamini kua Mesia alizaliwa ili Angano la Mungu na Ibrahim la kuitwa Baba wa Mataifa yote litimie.lakini...
Israeli hajawahi piga kelele juu ya kupigana na Iran, ila Irani ndio inapiga makelele kua ipo siku itaifuta Israeli katika uso wa Dunia, rejea matamshi ya Raisi wa Irani siku ya jumamosi Hamas walivyoishambulia Israeli
Shida yako mpalestina wa bongo ndio unadhani ni vita ya dini. Wakati waarabu wanajua ni vita ya mipaka, yaani waingize raia zao kwenye shida kisa ugomvi majirani kuhusu mipaka?
Huo ni mtazamo wako tu usio na uhalisia, Rusia kamwe hawezi kuwatumia Hamas kumpiga muisraeli. Hivi ulishawahi sikia mahali popote Rusia na Israeli wanavutana?
Yaani mkiingiza dini kwenye hii vita lazima muwe bias, Palestina na Israel wote wanatetea makazi Yao. Ukristo uliletwa na wazungu waliokuja kututawala na uislamu uliletwa na waarabu waliokuja kuwafanya Babu zetu kua watumwa. Wote waarabu na Waisraeli wanatuona mbwa tu linapokuja suala la kutetea...
Mkuu usiwe wale wanatoka kwenye mtihani wanakwambia sijajibu maswali yote afu unafika wakati wa matokeo karatasi lake ndio linatumika kama mfano darasani.
Hongera sana mliopata,
Binafsi nilikua matumaini moja la NIRC lakini wakati wa Mungu bado, hapa saizi ni mwendo wa kusubiri bajeti ijayo.
Hongereni sana tena mliopata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.