Recent content by Payrol

  1. P

    Israel wameanza kurejesha maji Gaza baada ya 'shinikizo' kutoka Marekani

    Sasa muache kulalamika kua Israeli wanaua Raia wasio na hatia. Maana hao uliosema washindi wameua Raia pia wasio na hatia
  2. P

    Israel yaimarisha Ulinzi Msikitini Al Aqsa, Viongozi wa Dunia waelekea Israel kuzuia Vita isienee duniani kote!

    Shida mnaoongea kitu ambacho hamkijui, hakuna Mkristo duniani kote anasema Israel Kuna wakristo wengi, ila Angano la Mungu kwa Wanaisrael halitatenguka. Biblia inasema wamefanywa Waisraeli wasiamini kua Mesia alizaliwa ili Angano la Mungu na Ibrahim la kuitwa Baba wa Mataifa yote litimie.lakini...
  3. P

    Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa.

    Israeli hajawahi piga kelele juu ya kupigana na Iran, ila Irani ndio inapiga makelele kua ipo siku itaifuta Israeli katika uso wa Dunia, rejea matamshi ya Raisi wa Irani siku ya jumamosi Hamas walivyoishambulia Israeli
  4. P

    Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa.

    Shida yako mpalestina wa bongo ndio unadhani ni vita ya dini. Wakati waarabu wanajua ni vita ya mipaka, yaani waingize raia zao kwenye shida kisa ugomvi majirani kuhusu mipaka?
  5. P

    Yanayojiri uwanja wa vita Israel Vs Palestine, taarifa za hivi punde

    Huo ni mtazamo wako tu usio na uhalisia, Rusia kamwe hawezi kuwatumia Hamas kumpiga muisraeli. Hivi ulishawahi sikia mahali popote Rusia na Israeli wanavutana?
  6. P

    Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

    Yaani mkiingiza dini kwenye hii vita lazima muwe bias, Palestina na Israel wote wanatetea makazi Yao. Ukristo uliletwa na wazungu waliokuja kututawala na uislamu uliletwa na waarabu waliokuja kuwafanya Babu zetu kua watumwa. Wote waarabu na Waisraeli wanatuona mbwa tu linapokuja suala la kutetea...
  7. P

    Kuna namna Yanga inahujumiwa, ni ngumu kushinda ubingwa msimu huu

    Sasa Ihefu kuanguka na kupoteza muda Karia na Waamuzi wameingiaje hadi walalamikiwe
  8. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu usiwe wale wanatoka kwenye mtihani wanakwambia sijajibu maswali yote afu unafika wakati wa matokeo karatasi lake ndio linatumika kama mfano darasani.
  9. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    We jamaa unasema wanaharakati uchwara wakati huo huo unataka wakusaidie kupaza sauti, sasa si bora watafutwe wanaharakati halisi walivalie njuga.
  10. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mliopata, Binafsi nilikua matumaini moja la NIRC lakini wakati wa Mungu bado, hapa saizi ni mwendo wa kusubiri bajeti ijayo. Hongereni sana tena mliopata.
Back
Top Bottom