Recent content by Pavlovian

  1. P

    Serikali iache kunyanyasa watumishi, Mfumo wa PEPMIS hauna uhusiano na mshahara wa Mtumishi alioufanyia kazi mwezi mzima

    Nchi haiwezi kuendesha Kwa matamko ya mtu mmoja. Mwenye kutamka mtumishi kusimamishiwa mshahara ni Mkuu wa nchi na si kiranja wake. Simbachawene unapaswa kutuomba radhi.
  2. P

    NECTA imedanganya umma kidato Cha pili matokeo ni mabaya mno

    Ukitaka wote wafaulu hata kama hawakufaulu? Watoto hawasomi Kwa sababu hawajajitambua hivyo ni LAZIMA wafeli. Mkoa wa Dar Es Salaam ni LAZIMA waendelee kufeli Kwa sababu ya changanyikeni na ulimbukeni wa simu.
  3. P

    Naongea na Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Bandiko bora Sana la mwaka 2023. Pamoja na kuwa Rais Samia Suluhu Hassan aliwaruhusu wateule wake Kula kulingana na urefu wa kamba yao na kwamba waangalie wasivimbiwe, wengi wamevimbiwa mno wakiwemo Mwigilu Lameck Nchemba (Esther Luxury) bila kumsahau Jerry Slaa. Jerry anatuambia kuwa bado...
  4. P

    Katibu Mkuu wa CCM huyu hapa

    Katibu Mkuu Ajaye anatakiwa awe mtu mwema atakayemsaidia Mkiti wa CCM kutekeleza ilani ya CCM ya 2020/2025. Mtu anaeungnisha watu wa makundi yote Kwa kueneza sera nzuri ya chama na kusema mazuri ambayo yamefanywa na serikali ya CCM. Asiwe mwizi la fisadi.
  5. P

    Waraka wa wazi kwa Waziri wa Ardhi Jerry Silaa

    Tume ni wizi na ufisidi wa Mali za umma
  6. P

    Waraka wa wazi kwa Waziri wa Ardhi Jerry Silaa

    Nilikuwa nimekaa nikasimama baada ya kusoma hoja Yako ili niweze kuiunga mkono Kwa 100%. Eti madiwani waachiwe wapange miji haijalisha wataharibu au vinginevyo. Slaa Jerry n bomu linalosubiri kulipuka, ni suala muda tu.
  7. P

    Kwako Waziri Silaa, vituo vilivyopo kwemye makazi ya watu siyo Mikocheni tu

    Ukonga Moshi bar Kuna makazi ya watu chungu mzima, Shule (Moshi fountain) na hapohapo Kuna kituo Cha mafuta ya mitambo. Slaa unatafuta popularity ya 2024/2025 ila kumbuka ubovu uliopindukia wa Barbara ya banana kitunda, njia panda Shule kivule Hadi njia panda ya Msongola unakusubiri. Jimbo la...
  8. P

    Rais Samia achangia mamillioni ya pesa taasisi ya profesa Jay Foundation, atoa maagizo mazito kwa Wizara ya Afya na Muhimbili

    Ukimya nao ni hekima na busara. Haikuwa na ulazima wa kureact Kwa jazba ikiwa unafahamu unachozungumza Kwa dhati kabisa kinatoka ndani ya moyo wako na sio hapa jukwaani tu.
Back
Top Bottom