Recent content by paup

  1. P

    Kanisa gani haswa KKKT (Lutherani) ambalo wana morning and evening glory?

    kariakoo hua ni asubuh sangap? kimara kwa sasa sina ratiba zao unaeza kunisaidia mkuu?
  2. P

    Kanisa gani haswa KKKT (Lutherani) ambalo wana morning and evening glory?

    Natamani kuwa karibu na Mungu zaidi..maana kazi hua haziishi na muda unabana msaada ni wapi naeza kusali asubuhi au jioni weekdays kwa Dar haswa maeneo ya kkoo na posta tafadhalini. asanteni.
  3. P

    Matokeo ya QT Form 2 yameshatoka?

    nadhani wanatumia normal syllabus ila mitihani hua inakua tofauti
  4. P

    Matokeo ya QT Form 2 yameshatoka?

    ook nashukuru kwa kunifahamisha maana dogo anayasubiri kwa hamu je ya form two huwa yanatoka lini pls me ni mhenga nishasahau
  5. P

    Matokeo ya QT Form 2 yameshatoka?

    kwa kweli this time naona yametoka tofauti..form two kawaida yametoka qt bado..
  6. P

    Matokeo ya QT Form 2 yameshatoka?

    Wakuu naombeni kujua mwenye taarifa kama matokeo ya qt form two yametoka ama yatatoka lini msaada tafadhali.
  7. P

    Ukumbi wa harusi utakao-accomodote watu 400+

    Wakuu, Naombeni msaada wa ukumbi gani mzuri wa harus utaotoshea watu 400, nimejaribu Impala Mbezi, Promirose, Mbezigarden na Mirado zote zimejaa, harusi ni end of Feb. Mnisaidie na number za simu please.
  8. P

    Natafuta ukumbi mdogo wa harusi Dar

    una namba zao unisaidie pls
Back
Top Bottom