Kitu kinachotutafuna kwa sasa ni kuingia kwenye mtego wa ndoa ya mke mmoja.
Hata tamaduni zetu zenyewe zilidharau mwanaume mwenye mke Mmoja.
Zaidi Hakuna mahali biblia imesema tuoe mke mmoja au tuwe na mke mmoja.
Tuendelee kufungwa na sheria za kanisa ambazo tuliamini hazibadiliki ila kwa...
USALAMA KATIKA UJENZI WA MIRADI YA SEKTA YA UCHUKUZI
Sekta hii inausisha ujenzi wa miundombinu kama barabara, reli, madaraja, kingo za barabara, mitaro, kalavati na barabara ndogo ndogo za vijijini, serikali kwa namna ya pekee sana imejitahidi sana kuendelea kupambana na sekta hii kwa kujenga...
ELIMU KIDIGITALI
Elimu huweza kumsaidia mtoto kuweza kujitambua na kutambua mambo mengi yanayomzunguka, pia huweza kumsaidia mwanadamu kuishi kwa kukabilia na mazingira yake.
Elimu kidigitali ni elimu ambayo inatumia vifaa vya kiteknolojia katika kufundisha na kujifunza, vifaa kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.