Recent content by PAULMATOLI

  1. P

    Mzee wa Upako: Kuoa wake wengi sio dhambi, katazo ni propaganda

    Kitu kinachotutafuna kwa sasa ni kuingia kwenye mtego wa ndoa ya mke mmoja. Hata tamaduni zetu zenyewe zilidharau mwanaume mwenye mke Mmoja. Zaidi Hakuna mahali biblia imesema tuoe mke mmoja au tuwe na mke mmoja. Tuendelee kufungwa na sheria za kanisa ambazo tuliamini hazibadiliki ila kwa...
  2. P

    KERO Responded Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

    Risiti inajielwza mbona, umekatwa deni miez 4
  3. P

    Anataka kuja kwangu wakati sina hata godoro nalala chini, kwake nilikwenda nikakuta ana maisha mazuri

    Mwache aje... kama anakupenda wewe itaeleweka kama anataka mali pia itaeleweka.
  4. P

    Nahitaji cycle mpya ya marafiki

    Bar iwe ya 10 kweli??
  5. P

    SoC04 Usalama katika ujenzi wa miradi ya Sekta ya Uchukuzi

    USALAMA KATIKA UJENZI WA MIRADI YA SEKTA YA UCHUKUZI Sekta hii inausisha ujenzi wa miundombinu kama barabara, reli, madaraja, kingo za barabara, mitaro, kalavati na barabara ndogo ndogo za vijijini, serikali kwa namna ya pekee sana imejitahidi sana kuendelea kupambana na sekta hii kwa kujenga...
  6. P

    SoC04 Elimu kidijitali

    ELIMU KIDIGITALI Elimu huweza kumsaidia mtoto kuweza kujitambua na kutambua mambo mengi yanayomzunguka, pia huweza kumsaidia mwanadamu kuishi kwa kukabilia na mazingira yake. Elimu kidigitali ni elimu ambayo inatumia vifaa vya kiteknolojia katika kufundisha na kujifunza, vifaa kama vile...
Back
Top Bottom