tatizo wanatanzania tuwa sahaulifu hawa watoto sindio walifutiwa mtihani wa form two 2010 serikali ikjua wangefeli wote kumbe ilikuwa ikiaarisha tatizo tu!
hawajamaa waliwaambia watanzania wajiandae kumbe wao ndio hawaja jiandaa muda wote waliokuwa wanatanza nivizuri wangetujuza watanzania tujiandae kununnua vingamuzi zaidi ya vitatu ilituweze kupata local channel leo namsikia naibu waziri makamba baada ya kuzima mitambo anazungumzia negotioation...
Huku kuhama bila taarifa ndiko kunatutisha vinginevyo watuambie watanzania tuwe na vingamuzi vyote ilikuwa na mawasiliano ya local channels maana nimeona star tv nao wanatangazo la kingamuzi chao,ITV nao wakija na chao ,mlimani,zuku sijui itakuwaje mimi na hisi tumekurupuka vibaya!
Tukio lenyewe linatatiza sana wengine wanasema jumatatu,wengine alhamisi sasa iweje tukio litokee sikunyingine na wale wenye hasira wakafanya uharibifu sikunyingine na kwa ushahidi gani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.