Recent content by Pattern breaker

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kama vita vya Israeli na Irani vinaisha, nyie watu wa humu mnao gombana kisa dini lini mtanyamaza

    Acheni hayo mambo ya dini .Nchi yetu ina uhuru wa kuabudu. Wahusika wajirekebishe Uzi tayari.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

    Ngoj nikitok hapa kamata nijisogeze mpk kkoo sokoni notafute vibungo roho yangu iwe na amani nikiwa nasubiri train la saa 2.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Wakuu hii chachua ya wahindi irudishwe tu.

    Elezea kaka ilikuaje😃😃😃
  4. P

    JamiiForums Tanzania Wakuu hii chachua ya wahindi irudishwe tu.

    Utaweza kuhimili kunya kila baada ya dk.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Wakuu hii chachua ya wahindi irudishwe tu.

    Nmeona watu wana kumbushia experience yao na hii kitu huko X,sisi tuliyo ikuta inapotea mpk leo tuna experience na huu ugolo wa wamasai. Wanasema ni kali kuliko ugoro wa kawaida sasa wahindi wanaweza kumudu vipi na sisi tukashindwa.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Nimefika Newala salama

    Sijui umefata nini huko ila kwa ushauri wa humu ndani najua utajarbu hata kuufanyia kazi mmoja. UKIMWI sio ugonjwa.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kubalehe changamoto sana

    Mnara unasoma sana kipindi hiko.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kubalehe changamoto sana

    Mkuu hii haina nut
  9. P

    JamiiForums Tanzania Kubalehe changamoto sana

    Tuna zaliwa vizuri tunacheza na jinsia tofauti vizuri kabisa ila ikifika kipindi huwezi tena jumuika nao tena. Matamanio ya haraka nimeyatatua kwa style hii 👇👇👇 ili kutoweka mshangao kwa watu. Share na ya kwako ulitatua swala la mashine kudinda mahali usipo tegemea.
Back
Top Bottom