Hahaaaa kwani ni km 200 au mt 200...?? Mt 200 nahisi ni viwanja viwili vya football tuu sasa jamani hiyo mbona kawaida.?? Mbona mzee ruksa anakwenda km kadhaa?? E l je. Hebu mlete huyo mwandishi hapa tumpe mboko
Hahahaaaaa hii hata haichukui dakika tano kujua kwamba hii document haijatoka chadema bali imeandaliwa kwa ufundi mdoooogooo wa wale vijana wa buku saba. Haiwezekani chadema imchague mbowe kama mwenyekiti na slaa kama katibu mkuu kisha waeleze siri za viiongozi hawa kwamba hawana mvuto wala...
MANDAL JR ANAFIKIRI SCIENCE KIT MOJA YA MAABARA INAUZWA BUKU SABA ALOZOEA KULIPWA AKILETA UZUSHI HUMU. NJOO TUKUPE BEI. LABDA MWIGULU ATOE HELA ZOTE KWENYE AKAUNTI YAKE ALIZOPATA WAKATI WA UTUMISHI USIOTUKUKA BENKI HELA ZETU ZILIPO EPA, PIA ATOE ZOTE ALIZOPATA WAKATI WA UHAZINI LUMUMBA Ndo...
NAONA ULIKUWA HAUJALIPWA MUDA MREFU SANA NA LEO ANGALAU AMEKUKUMBUKA KWA KUKUJAZIA TUMBO NDO UKAKUMBUKA KURUDI JF. HIZO MAABARA ANAJENGA KWA HELA IPI? UNAFIKIRI KILA KICHWA NI CHA KUDANGANYWA? KULIKUWA NA UMUHIMU GANI WA KUHANGAIKA NA BARABARA ILE YA KIFISADI BADALA YA MAENDELEO YA WANANCHI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.