Recent content by PATRIOTIST

  1. P

    Mwalimu wa secretarial course,mapishi na msimamizi wa stationery wanahitajika

    HAPANA! Awe tayar kufanya kazi jiji la mbeya soma vizuri ila............ni vizuri na rahisi zaidi
  2. P

    Mwalimu wa secretarial course,mapishi na msimamizi wa stationery wanahitajika

    Habari wana jamiiforum? anahitajika secretary wa kufanya kazi ya stationery au msimamizi wa stationery (1) Mwalimu wa mapishi/ cooker (1) mwalimu wa secretarial course mmoja (1) SIFA/QUALIFICATIONS Awe na level II AU III AU diploma Kutoka chuo chochote kinachotambulika na VETA au Serikali Uzoefu...
  3. P

    Nafafuta kazi au sehemu ya kujitolea nina diploma ya IT

    Contact me by 0743131313 OR email: computechvtc@gmail.com
  4. P

    Teacher needed at sunrise english medium school

    Three (3) Women teachers needed to teach at our school [English medium] Sunrise nursery school. Qualifications needed; 1. Certificate/grade IIIA or Diploma 2.Ability to deliver in english to the children/pupils 3. Hard working 4.Care and love children/pupils Nb: salary is negotaitation between...
  5. P

    Walimu wa Kompyuta wanahitajika

    COMPUTECH COMPUTING TRAINING COLLEGE TUNATANGAZA NAFASI (3) ZA WALIMU WA CHUO CHA KOMPUTA (KIUME 1, NA WA KIKE 2) WENYE SIFA ZIFUATAZO. 1. ELIMU KIDATO CHA NNE NA KUENDELEA 2. AWE NA MAFUNZO YA KOMPUTA STAGE I-III ( certificate or diploma) kutoka chuo chochote kinachotambulika na VETA OR NACTE...
  6. P

    Personal secreatary (ps) na msichana wa kusimamia stationery wanahitajika

    habari wadau? natafuta mtu wa kusimamia stationery na personal secretary (PS) katika chuo sifa wawe: wamemaliza kidato cha nne wachapa kazi na waaminifu ujuzi na uzoefu wa komputa katika program zifuatazo Ms word, Ms excell, Ms publisher, internet ngazi ya cheti nafasi hizi zinahitaji...
  7. P

    Anahitajika msichana wa kazi ya stationery aliopo Dar es Salaam kuanza kazi urgent

    nashukuru wadau wote nimefanikiwa kumpata mmoja hivyo sihitaji tena cm, natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushirikiano wenu
  8. P

    Anahitajika msichana wa kazi ya stationery aliopo Dar es Salaam kuanza kazi urgent

    Sifa za msichana huyo awe mchapakazi mwaminifu mwenye ujuzi wa kutumia computer km ms word, excell, publisher, internet etc awe mkazi wa dar es salaam na awe tayari kuanza kazi haraka iwezekanavyo MSHAHARA MAELEWANO mwenye sifa call 0712471333 THANK
  9. P

    Msaada wa ushauri tafadhari!

    Habari wa jf! Mimi ni mdau wa jukwaa hili hebu tushauriane ktk hili maana km kwel wafanyakazi wote wanafanya hy bac serikal inawalipa mishahara y bure wafanyakazi wake! Mm n mfanyakazi wa sekta binafsi nipo kikazi mikoani ila nina hangaikia uhamisho wa mdogo wangu fulan yaan mpka nasema haya...
  10. P

    Wanaoiponda na kuidharau UDOM

    ungejitahidi kuongea ukwel ningekuunga mkono ila ni mnafiki na mlopokaji ulipata wap taarifa hivo za kuwa PHD udom ni less than 20 usitafute umaarufu kwa kuongea uwongo sema ww n kati ya waliotimuliwa ktk deprt hiyo mm deprt niliyosoma prof, dr ndo zimejaa labda pia ungekuwa specific n deprts...
  11. P

    Sababu za graduate wengi Tanzania kukosa ajira/kazi serikalini

    kwel mawazo yk n mgando kwel maana mm buku kwa kiasi kinachohitajika nishapiga na hiyo bustan mm sijasomea agro sthng or horticulture etc mm nalalamika situation iliyopo hapa tz bahati nzuri kazi ninayo japo naamin c lazima kuajiriwa km cina sifa ila ninasifa zote na najua tatizo ni mfumo wa...
  12. P

    Sababu za graduate wengi Tanzania kukosa ajira/kazi serikalini

    bac unabahati mbaya y kukutana n wasio na uwezo ila mm najua c wote na wapo vijana wengi wenye uwezo na ubunifu na sifa nyingine pia wapo waliosoma i mean graduate wa below 2000 n watupu, weupe n hata ubunifu haupo zaid ya kufanya kaz kwa mazoea na outdated techniques!
  13. P

    Sababu za graduate wengi Tanzania kukosa ajira/kazi serikalini

    mm nadhan huijui tz utafanya hayo vip maana ukianza kuzalisha tu kodi zilizopo utajua hapa TRA pale lesen huko ardhi, kule soko, hapa mwenge, huku blabla nyng na huko kijijin c km unavyozan uchawi na mambo mengine ucpime ila fulsa zipo miundombinu haijawekwa ht kidogo ndg!
Back
Top Bottom