Acha ulelemama mwanaume. Ukiachwa tafuta mwingine. Inaliaje? Next time prioritize maisha yako. Usikubali furaha yako iwe determined na external factors. Ila pole
"the world is a tragedy for those who feel and a comedy to those who think ". Be a thinker and enjoy every bit. Be a feeler and...
Tunaziheshimu ilimradi sio zitolewe na machawa + zisiwe za kununuliwa. Plus ile ni award na sio academic qualification. Hivyo the tittle Dr should be refrained.
Issue kubwa ni capitalism with its cons. Hali ya uchumi ni ngumu. Ukiwaza marriage it's frightening
a) Tunza mchumba ktk daily needs
b) Lipa mahari
c) Garama za harusi
Hapo katikati wenye financial powers washakunyang'anya.
NB: Kuoa kwa sasa ni act of courage.
Mimi wa kwangu alikuwa anatishia kuniacha kila nikimuudhi. Yeye ndio mwenye haki kwenye mahusiano. Nimemlia timing juzi. Kaniudhi mimi nikamtema mazima. Say no to toxic women na ukiona unatabwagwa, wahi ubwage wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.