Recent content by Patrick Sirisu

  1. P

    GE2020 Jimbo la Siha kurejea upinzani tena

    Jimbo la Siha Kurejea Upinzani Tena Maamuzi ya Kamati Kuu ya Chama yanasubiriwa kwa shauku kubwa sana, Kila mwananchi anatamani kusikia jina linalorudi kutoka Dodoma. Leo nitazungumza kuhusu hili Jimbo langu la Siha, Jana nilieleza kuhusu Arusha Mjini,Arumeru Magharibi na jinsi Chama kitapata...
  2. P

    Tamko la Umoja wa Kizazi cha kuhoji Tanzania (UTG) kuhusu suala Ben Saanane kutojulikana alipo

    Leo Umoja wa Kizazi cha kuhoji Tanzania (UTG) umefanya mkutano na waandishi wa habari kuelezea suala la kupotea kwa Katibu wao Ndugu Ben Saanane na suala la kuokotwa kwa miili ya watanzania 7 huko Bagamoyo. Vyombo vya habari vilivyoshiriki: 1. Televisheni (ITV, StarTV, na Clouds TV) 2. Radio...
  3. P

    Godlisten Malisa, Meya wa Ubungo, Jerry Muro, Majura Magafu na wengine maarufu wadaiwa sugu HESLB

    HAWA HAPA VILAZA WA LUMUMBA AMBAO NI WADAIWA SUGU BALAA. [emoji654]Kuna vijana wawili wapiga kelele sana mitandaoni kuitetea serikari ata inapofanya ujinga. [emoji654]Kwenye risti ya majina ya wadaiwa sugu warikua wanasambaza majina ya vijana wa chadema kumbe nao ni wadaiwa sugu. [emoji654]Wa...
  4. P

    Mkakati wa DC Siha kujinasua na shutuma za ulevi, washindikana

    Wenyeviti wa Vijiji Siha wakutana Usiku huu kuweka mambo sawa kwa DC,Wenyeviti wa vijiji kumi na moja wamekuta usiku huu ili kuweka msimamo mmoja wa kumsafisha mkuu wa wilaya kesho mbele ya waandishi wa Habari, Taarifa zinasema wajumbe wanne wameamua kuondoka kutokana na kuambiwa maneno ya...
  5. P

    Mkakati wa DC Siha kujinasua na shutuma za ulevi, washindikana

    Vikao vinaendelea Muda huu kuweka mambo sawa kikao cha kesho cha wenye viti wa vijiji na waandishi wa habari kumsafisha Mkuu wa Wilaya
  6. P

    Mkakati wa DC Siha kujinasua na shutuma za ulevi, washindikana

    Mkakati wa Mkuu wa Wilaya kujinasua huwenda ukagoma. Taarifa za kuaminika ,kutoka kwenye kamati ya siasa ya CCM Siha jana 01/06/2016 ambako wajumbe wa siasa waliketi na kujadili namna yakukabilina na kashafa ya Mkuu wa wilaya kuitwa mlevi na Mbunge mh Mollel.Mjumbe mmoja alisema hivi' "Leo...
  7. P

    Kafulila na Lema wabadili upepo wa CCM Siha

    Tunaendelea na uchambuzi wiki ijayo kwa kuangalia hali ya Mwanry
  8. P

    Kafulila na Lema wabadili upepo wa CCM Siha

    Uko sahihi kabisa naamini viongozi wa Chadema watakuwa wanasoma na kuona yanayojiri
  9. P

    Kafulila na Lema wabadili upepo wa CCM Siha

    Shamba la Gararaguwa liko kata ya Gararaguwa Shamba la Ndarakwai liko kata ya miti mirefu,Shamba hili la Ndarakwai nalo linamzozo wa mwekezaji,Ila la Gararaguwa ni linauzwa kutokana na deni la KNCU,Ambalo haijulikani nani alieleta hilo deni?
  10. P

    Kafulila na Lema wabadili upepo wa CCM Siha

    Hali ya kisiasa ya CCM katika jimbo la Siha Kilimanjaro imezidi kuwa mbaya kadri siku zinavyo zidi kwenda, Hali hiyo imetokana na ujio wa wabunge wanao unda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Mh Lema wa Arusha Mjini na David Kafulila wa Kigoma Kusini kufanya mkutano katika kijiji cha Lawate...
  11. P

    Dr. Godwin Mollel, Mkurugezi wa Seliani Arusha kugombea ubunge Siha kwa tiketi ya CHADEMA

    Asante Saro naamini mtawaletea wananchi mgombea wanao mtaka wao,nasio nyiee.
  12. P

    Dr. Godwin Mollel, Mkurugezi wa Seliani Arusha kugombea ubunge Siha kwa tiketi ya CHADEMA

    Kwa hali ilivyo hivi sasa wilayani siha Dr Mollel anatajwa sana, inasemeka mwaka 2010 ndie alietakiwa kugombea ubunge kupitia CCM. Mbali na ushindi walioupata ccm wa kulazimisha bado Mwanry anakabiliwa na upizani kutoka kwa kundi linalosemekana ni la Mollel nusu ya madiwani wamekuwa wakimpinga...
  13. P

    Dr. Godwin Mollel, Mkurugezi wa Seliani Arusha kugombea ubunge Siha kwa tiketi ya CHADEMA

    Mkurugezi wa hospitali ya Seliani Arusha Dr. Mollel ametangaza rasmi kugombea ubunge katika jimbo la siha kwa tiketi ya CHADEMA. Mollel amechukuwa uwamuzi huo juzi baada ya wazee wa kimili kumfuata na kumuomba atangaze nia ya kugombea ubunge katika jimbo hilo. Mollel ambaye aliwapokea...
  14. P

    Mwenyekiti wa UVCCM Arusha awasaliti UVCCM

    Mfinanga Oroliani 0753156350 mtafute,huyo alikuwa kamanda wa Chadema Kata yaOroliani na kwa sasa ni mwanaACT na nimratibu wa ACT arusha anaorodha ya majina ya watu kila siku anaandikisha'
  15. P

    Mwenyekiti wa UVCCM Arusha awasaliti UVCCM

    Mfinange wa Orolieni Arusha ukiweza kumpata tu unapata hela ya kutosha
Back
Top Bottom