Recent content by PATRICE LUMUMBA

  1. P

    Wapemba na kuvunja muungano

    Kuhusu hili la muungano,ama kweli inasibitisha mapungufu tuliyo nayo watu weusi,hoja zao za kutaka kuvunja muungano ni za kipuuzi na kitumwa,mfano wa hoja hizo ni kama eti misaada mingi inapitia serikali ya muungano hivyo wazanzibar hawafaidi!,mara ooh! tukijitenga tutapewa na nchi za kiarabu...
  2. P

    Mwalimu aliwalea wanawe katika maadili na makuzi ya kijamaa zaidi

    Mkongoro anadhihirisha umakini wa baba wa taifa katika uzalendo na malezi,ila hafai kwa urais 2015,kwa kuwa yupo kwa wazee wa magambaz!:heh:
  3. P

    Lissu naye kuenguliwa

    Mfa maji haachi kutapatapa,magamba maji shingoni,hata iweje mabadiliko lazima,ni muda tu ndio utaamua,na upesi utawadia!.MWANGA HUSHINDA NGUVU ZA GIZA DAIMA!
  4. P

    Ushindi wa chadema si wa bahati mbaya...

    Ni ushindi wa nuru na matumaini dhidi ya giza na ushirikina,uchu wa madaraka na ukuu,uroho wa wachumia tumbo na mirija yao migongoni mwa wavujajasho.Ni ushindi uliodhihirisha mwanzo dhahiri wa kukata mirija ya kinyonyaji.
  5. P

    Unafiki wa pongezi za CCM kwa ushindi wa Chadema Arumeru

    Mambo ya mapanga ni hatari sana kwa Tanzania yetu,ole wao!
Back
Top Bottom