Watu wengine wanafikir kwa kutumia makalio....siku nkikutana na wewe ambaye unasema Mungu hayupo, hapohapo nitamwomba akuoneshe kwamba yupo; nitakachomwomba ni abadilishe kichwa chako kikae sehem ya makalio na makalio sehem ya kichwa ili uendelee kufikir vzuri zaid kwa akili....NYUMBU
mara nyingi namwota mtu aliyekufa tena muda mrefu, nlishawahi kuota bibi yangu kafia nje na kweli akafia palepale nilipoota, nlishawahi kuota nadondoka sehem ya juu sana na kumbe nlikuwa nadondoka kitandani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.