Recent content by PATIE DE CHRISS

  1. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Fanya yote ila usiwe na mahusiano na mfanyakazi mwenzako kazini

    Kweli kabsa. Mahusioano ya kazin na staff mwenzko ni moja ya Big mistake. Unafnya una loose mengi sanaa
  2. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Ole wako mwanamke unayemletea kiburi mme wako kuwa hakutishi utaondoka na kulea watoto mwenyewe, maisha ya single mother nyuma ya pazia ni masikitiko

    Hali ni tete sana, wanaingia kwenye mambo ambayo kiukweli asilimia kubwa wanajuta. hata awe na kazi sehem lakin anajikuta ameingia kwenye mengine ambayo wanaita side hustle lakin ukweli wanapata wakati mgumu sanaa
  3. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Nipeni Mbinu za kushinda vita za makazini, naona vita imekua kubwa

    Katika hizi harakati za ajIra nimegundua pale unapikuwa na haja ya ajira unaomba Mungu akupe ajira. Na Mungu naye anafnyaya yake unapata ajira. Sasa ukishalaya tunasahau kuiombea hio ajira iwe na amani na manufaa kwako na maendeleo yako So kama ulivyoomba kupata ajira yako sasa iombe ajira...
  4. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

    Daah Pole sanaa mkuu
  5. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania All in all mahusiano ni magumu

    Now adays money talks Mahusiano ni part of it.
  6. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Kwanini bidhaa za China zina gharama nafuu katika soko la dunia? Sababu sio cheap labour kama wengi wanavyodhani

    Kwa wa china wana angalia supply zaidi So the more the demand of the world the more they supply to the world
  7. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Kwanini vijana wengine kutoka Mazingira magumu huibuka na kufanikiwa?

    Maisha ni mwalimu tosha Wengi wamepitia pagumu sanaa Wakipata mafanikio wanapambana wasirudi kwenye hali hiyo tena
  8. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

    Kwa hilo ni mind set na ushap wako Akili iambie miguu ifanye maamuzi haraka na miguu ifnye hivyo Haraka
  9. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

    Hii ndo inaitwa karibu Dar es salaam Hapa akili kumkichwa
  10. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Ukiwaelewa na kuwajua wanawake huwezi kuoa

    Kujua sio kosa hata kidogo Sema mda mwingine unafumbia macho hata kama unajua Kwan ukisema kila kitu useme ndo unajikuta ndoa au mwanamke una achana naye
  11. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Jinsi unavyowatendea familia na wapendwa wako na namna unavyofanya kazi vinategemea na malezi uliyopitia

    Well said Some of the way parent raise there children is the current manifest of them when they reach adulthood
  12. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Ukiona dada anakuchekea kwenye gari ya abiria, usirudishe tabasamu mpaka alipe nauli

    Umekutana na kitu kizito sanaa Pole sanaaa. Kila mtu afe na mzigo wake
  13. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ukikodisha Bodaboda usiku Dar uwe na chenji kamili, la sivyo yatakukuta yaliyonikuta

    Kabisa. Lakin mda mwingine kama chenji ni hela ndogo una muachia na yeye akanunue kahawa usiku kuna barid sanaa na wanafnya kazi usiku mzma
  14. PATIE DE CHRISS

    JamiiForums Tanzania Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

    Duuh. Noma sanaa. Yeye ndo aliwahi kujiteteaaa kwa wazazi Pole sanaaa mkuu. Ungerudisha kofi moja akalie kwao vizur
Back
Top Bottom