Recent content by pathope

  1. pathope

    JamiiForums Tanzania Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

    we hujui nguvu ya walevi tunaungana tunakojoleamoto mpaka unazima
  2. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hivi CHADEMA walikuwa wanawaambia nini Wananchi wakati wa kampeni?

    Mkuu weka akiba ya maneno coz najua unafahamu kwamba muda haukuwahi kudanganya. Nina imani baada ya miaka mitano utatamani kuufuta huu uzi ama utakaa mahali nakuona ulikosea kufikri sana. Tunza hii tarehe
  3. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    it might be
  4. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mbowe ashindwa kutetea Ubunge wake katika Jimbo la Hai

    Well said mkuu for sure kilichotokea hata anguko la lema Arusha Ni mwitikio mdogo wa watu kupiga kura.... CCM imepata kura zake za 2015 lakini za CDM zimepungua maana hawakwenda kupiga kura
  5. pathope

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa Vyombo vikubwa vya Habari kwa yanayotokea Zanzibar

    asee kwa hii akili Kama yako ccm wataongoza milele..hivi umeona ulichopost #akili ndogo mtaji wa ccm
  6. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

    Endelea kushikiwa akili na kufuata mkumbo ila mwisho wa mchakato asee tarajia yasiyo tarajiwa then utajua hujui
  7. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

    Aanhaaa unamsemea huyu jiwe ambaye Ni much know
  8. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ni sawa Tanzania kuwa na idadi ya wapiga kura milioni 29 mwaka huu?

    Jomba CCM haina wanachama 17mil nimnashindwa kuelewa ccm imegawa kadi 17mil...Tunza haya maneno na baada ya mchakato kumalizika utajua ulikuwa unashikiwa akili.. #akili ndogo mtaji wa ccm
  9. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ni sawa Tanzania kuwa na idadi ya wapiga kura milioni 29 mwaka huu?

    Hahaha asee kweli mtaji wa CCM ni ujinga..Yani kitendo cha kushindwa hata kuargue Ni tatzo mkuu..Ungejiuliza kwamba Kama wanna uhakika wa 22mil voter mbona wanna teseka
  10. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

    umeshalewa nn na Kama umelewa ntaona Ni akili za pombe na kama uko sober asee we Ni mtaji wa ccm
  11. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

    Hakuna mahali popote na kwenye hutuba yeyote lissu ameeleza kuhus ushoga Sasa jomba mbona unakuwa Kama.. Mjinga ambae anaona ukweli,anasikia ukweli lakini anaamini uongo #akili ndogo mtaji wa ccm
  12. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

    Mameni lissu anashinda arfu...Tunza haya maneno. Tarajia yasiyotarajiwa
  13. pathope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu asiachwe aeneze uchochezi huu

    #akili ndogo mtaji wa ccm
Back
Top Bottom