Recent content by patella

  1. patella

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wanatuonea sana wakazi wa Kawe. Mamlaka ziingilie kati

    rikiboy nimefatatilia nyuzi zako kadhaa nikagundua kwenye maisha wewe badoo sana unagangaa njaa huwezi jifananisha na mimi yani wewe bado junior sana kwenye field yako.
  2. patella

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wanatuonea sana wakazi wa Kawe. Mamlaka ziingilie kati

    skia budaa unaweza lipwa milioni au hata milioni 2 kwa kazi ya kufagia lakini ukawa hujarizika kwa unachofanya na ukaona huheshimiki, kwaio kama wewe ni miongoni mwao nakushauri fungua moyo uelee tu usiwe na makasiriko kazi yako ya kufagia utaifurahia.
  3. patella

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wanatuonea sana wakazi wa Kawe. Mamlaka ziingilie kati

    ndo ivyo ilivyo sasa,mke anajua ukifika kule asubuh hadi jioni ni mazoezi ya medani za kivita kumbe kuna kufagia, kudeki, kufyeka nyasi na kambi zingine had kuvuna mahindi na kumwagilia bustani. Kazi hii ilinishinda sababu mimi huwa napenda sana ubishoo yani alaf suala la kutofuga ndevu sikua...
  4. patella

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wanatuonea sana wakazi wa Kawe. Mamlaka ziingilie kati

    kuna wanajeshi wengine mfano hapo lugalo unakuta hana lolote anaaga mke wake nyumbani kuwa anaenda kazini akifika kazini kazi ni kufyeka nyasi na kufagia na kedeki, kwaio huyu ukikutana nae mahali huwa ana hasira sana kwaio hasira zake zote za kufagia fagia pale atakumalizia wewe, sijawahi kuona...
  5. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano yangu magumu mwanaume wangu hana hela

    kwanini wewe usitafute hela zako mwenyewe hivi kuomba omba huwa hamuoni aibu? sawa wewe ni mwanamke lakini huoni aibu kuomba buku? kingine hutaki kazi ya udereva unasema afungue biashara mtaji utampa wewe au atapata wapi mtaji kama buku tu hana?[emoji3]🫢 Sijui kama nakosea lakini mimi ishu ya...
  6. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa dunia ya leo, sishauri mwanaume aoe mwanamke asiyekua na elimu ya walau diploma

    Mtu mwenyewe kumbe ata kuoa hajaoa alaf anatoa ushauri wa mambo ya kuoa ,oa kwanza huyo aliesoma alaf uje utuelezee vizuri faida zake unazopata ni zipi. We kama huna akili ya kuset mipango yako ya maendeleo unasubiri upate mwanamke wa kukusaidia bas umepotea JIFUNZE KUSIMAMIA MAISHA YAKO MWENYEWE.
  7. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeoa Mrangi

    Hongera mkuu Mwaka huu nimeenda urangini kondoa kikazi miezi 3 lakini karibu kila siku nilkua nagonga mrangi kiutani utani tu na hatufahamiani, nilichokiona kule ni kuwa haijalishi ni mwanafunzi, mke wa mtu au mama mtu mzima wote ni wepesi sana kutongozwa, ata kichakani unamlaza tu hawana neno
  8. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa dharau hizi, nimeahirisha kumuoa

    Kwa mimi binafsi sijaona shida yoyote wala kosa lolote hapo
  9. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji23]
  10. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    asee mbona hujatuambia kama ana chura au ? ni muhimu sana kusema[emoji23]
  11. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

    Kuna mwana mwingine nae anaambiwa ivo ivo kama wewe unavoambiwa.....[emoji23][emoji23][emoji23] Sio mambo ya kuamini sana .
  12. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mnaojifanya mpo bize sana na kazi mnagongewa sana wake zenu

    Tunatofautiana mitazamo, mim binafsi sijaoa ila kwangu mimi hela ni tamu kuliko mwanamke.
  13. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tupendane, tusiharibiane ndoa

    mkeo unakuta chura kubwa tandamu hasa, rangi imekubali, akitembea kiuno kinazunguka tu chenyewe na hana uchoyo, unataka sisi tufanye nini ndugu yangu??[emoji23][emoji23][emoji23] eti? ata ingekua ni wewe ungefanyaje asee??
  14. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji23][emoji106]
  15. patella

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] daaah umenishinda tabia kwa kweli. we Joannah kwani we hutaki kutibiwa kama yule?
Back
Top Bottom