Recent content by patce

  1. P

    Meya Jiji la Arusha na viongozi wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro wamekamatwa na Polisi

    ni mbegu mbaya ya chuki inapandikizwa kati ya watawala na na wenye mtazamo mbadala(upinzani),lazima watawala wajuie kuwa watanzania wote hawawezi kuwa na mtazamo sawa.
  2. P

    Kuandamana bila kibali ni kupindua sehemu ya nchi na kuikalia kimabavu ambao ni uhaini

    mtoa post hajui hata taratibu na sheria zinasemaje kuhusu kuandamana na kufanya mikutano na bado anaangaliwa hivi hivi kwa post za kuwagawa wananchi,elimu hapa inahusika.
  3. P

    Katibu Mkuu wa BAVICHA Taifa, Julius Gabriel Mwita akamatwa na Polisi

    uchumi haujengwi kwa kukamatakamata ,serikali iwe na focus kwenye maendeleo ya wananchi ,wafanye utafiti wapi tunakwama kama taifa ,haiwezekani upate mrahaba wa 4% kwenye madini utegemee maendeleo kwa kuzuia upinzani,haiwezekani viongozi wapatikane kwa ukada bila kuzingatia professionals...
  4. P

    Mutungi, CCM na Rais Magufuli; hii kweli hamuijui?

    ccm inaogopa nini ,mbona katiba ipo wazi,unawezaje kutenganisha siasa na maisha ya kila siku,? kukubali ccm wafanye siasa na kukataza wapinzani c kugawa taifa,??mbona hata kuongoza ni siasa nchi na majimbo ni siasa??tupingane kwa hoja sio nguvu na vitisho najua ndio utamaduni tuliozoea.
  5. P

    Sikutegemea UKUTA! Kwanini nauona kama mkakati wa kienyeji...

    Mazingira ya kisiasa uliyoyataja ni tofauti na tanzania na majimbo mengi uliyoyataja yanajitegemea kiuchumi mpaka kisiasa hauwezi kulinganisha na taanzania ambapo unategemea bajeti kuu mpaka kulipia bili ya umeme na maji,manispaa zimeondolewa kodi ya majengo ambacho kilikuwa ni kipato kikubwa...
  6. P

    DC Iringa: Marufuku Mikutano ya siasa kwenye Wilaya yangu mpaka mwaka 2020

    hivi unatenganishaje siasa na maendeleo,au viongoz wetu hawajui nini maana ya siasa,mpaka anachaguliwa kwa nafasi ameipata kupitia siasa, leo wanakataa siasa ,au hawajui kama wapo kisiasa,???wasomi wengi walitenganisha siasa na maendeleo na uchumi mwisho siku ,wanasiasa ndio wanawaamuamlia...
  7. P

    Wananchi wa Rungwe mkoani Mbeya wakataa madawati baada ya kubaini yametolewa na mtu wa CCM

    lazima huyu diwani alipita kimagumashi ,haiingii akilin mwakilishi mliomchagua wenyewe atoe madawati, wanachi wayakatae hapo kuna namna,
  8. P

    Mangula amkosoa Ole Sendeka

    watu wanashindwa kutofautisha kati ya siasa na kampeni ya uchaguzi,siasa haiwezi kuwa na mwisho kampeni ndio ina mwisho ,kuisha kwa siasa ni kufutwa kwa vyama vya siasa.
  9. P

    Hakuna atakaefanikiwa kuongoza nchi hii kwa mafanikio kupitia CCM

    nchi inatakiwa iongozwe na viongoz wenye maslahi kwa taarifa yaani wazalendo wakiongozwa na taasisi imara inayotambulika kikatiba(usalama wa taifa).na hiyo taasisi itambuliwe kikatiba ambapo rais hasiweze kuiingilia ingawa anaweza kuteua uongoz wake,hapo ndipo tutakapo pata maendeleo ya...
  10. P

    Msajili wa Hazina agoma Shirika la UDA kuchukuliwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

    madiwani wanasema hakuipita kwenye utaratibu wa uuzwaji na msajili anatetea uuzwaji yeye ana maslahi gani,na je uda ilikuwa na thamani ya bilion 5.5tu,yaani yadi, majengo,mabasi,ni kiasi cha bilion 5.5.hapo inaonekana shida ipo.vp kuhusu hela za kuuzwa kuingia kwenye account ya mtu binafsi.??
  11. P

    Makontena 115 ya sukari iliyofichwa yakamatwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar Makonda

    badala na kukaa na kutafakari jinsi ya kugundua viwanda vipya wanagundua makontena yaliyo nchi kavu,
Back
Top Bottom