Utaratibu wa kumpima mtu kwa kutumia GPA ni wa kitaalam (nadhani), ni kweli mpango unaweza kuwa na changamoto zake, la msingi na ninalokiri (kwa uzoefu), wapo waliopata GPA kubwa kwenye utendaji(application) kwenye field maeneo yao ya kazi wakawa vilaza,na wapo walopata GPA ndogo wakatisha...
Nadhani ni kutokana na IMANI kuwa wengi wao (kama si wote) wanajiheshimu, pia ikumbukwe kuwa wazungu wana "mind' sana nywele za kiafrika, halafu ziwe ndefu! humdanganyi kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.