Recent content by Patandi

  1. Patandi

    GE2025 Mpina kugombea urais ACT Wazalendo ni ndoto ya mwendazimu

    Ushauri kwa Mpina.... Ndugu gombea ubunge ukaandae mazingira ya kuutafuta urais utafanukiwa sana siyo sasa. Urais utafute 2030.
  2. Patandi

    GE2025 Madeleka: Wanaosema watazuia uchaguzi ni matapeli kama matapeli wengine

    Ni polisi na alikula kiapo cha utii!!
  3. Patandi

    Kenya: Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na DCI waitwa Bungeni kueleza mauaji ya Ojwang na Polisi waliotumwa na DIGP. Tanzania tujifunze hapa!

    Ni kwa kuwa swala linashughulikiwa na mamlaka husika. Wanafuatilia wakisuburi matokeo ya mawasilisho bungeni. Baada ya hapo kama hawataridhika utawaona!
  4. Patandi

    Bila Shaka hutu ni Rais wa Yanga Eng Hersi, Madhitaka yake huko Fifa y ameiva

    Kwa kiingereza hicho kwenye screen shot siamini kama ni cha FIFA. Kimekaa kibongobongo!!
  5. Patandi

    PreGE2025 Tuwe Makini! Mwaka Huu CCM tutazomewa sana!

    Kuzomea picha ni kuwapelekea ujumbe wenye picha. Ndiyo maana aliyechora picha kisha akaichoma/kaichana alifungwa kisha katoweka. Unadhani kwa nini hayo yalitokea. Kama ni upuuzi na ubatili kwa ninj alifungwa na kisha "kutoweka".
  6. Patandi

    Pride Comes Before the Fall: CHADEMA inabidi wajipange upya

    Kama ndivyo Lisu alivyo kwa nini chama kilimpatia nafasi ya kugombea urais?
  7. Patandi

    PreGE2025 CCM: Wapinzani wakifa, hatuwezi kulia! Tutawatupa Mtoni, wawe chakula cha mamba

    Hivi polisi hawaoni viashiria vya shari katika wimbo huo na kuwachukulia hatua wahusika?!!
  8. Patandi

    TANU na ASP vilikutana na vikwazo kama hivi kutoka kwa wakoloni

    Wanafuata mkumbo tu. Wengi wao wamekuwa 'brain washed' hawajitambui. Lakini wanaofaidika ni wale niliowataja hapo juu.
  9. Patandi

    TANU na ASP vilikutana na vikwazo kama hivi kutoka kwa wakoloni

    Viongozi wa chama tawala hawawezi kukubali mabadiliko yanayoweka uwanja sawa kwa wote kwa kuwa wao na vizazi vyao na vya marafiki zao wanataka kutawala milele. Wamejazana serikali kuu, halmashauri, idara mbalimbali, taasisi, mashirika ya uma na majeshi. Ndiyo asili ya jeuri yao kuwa hakuna...
  10. Patandi

    PreGE2025 Vijana hatuna chetu, wazee bado wanaendelea kulamba teuzi

    Nani kawafanya wawe hivyo walivyo? Nani alaumiwe kwa umbumbu huo?
  11. Patandi

    Mahakama ya Tanzania ni mhimili unaosimamia uvunjwaji wa Haki za Binadamu nchini....

    Hiviii kazi ya TAKUKURU ni ipiii? Hata hayo hawayaoni kuwa ni rushwa! Kitengo hiki kingefutwa tu maana sioni kama kina tija kwa taifa na watu wake bali ni hasara tupu.
  12. Patandi

    LGE2024 Askofu Ruwa'ichi: Kuandikisha watoto kupiga Kura ni Hatari kwa Taifa, Tunalea Wahuni na Wezi

    Kukomesha wizi huo tubadilishe mfumo wa kupiga kura. Badala ya makaratasi wapiga kura wasimame nyuma ya mgombea wanayemtaka badala ya makaratasi kwa kuwa hata TAKUKURU licha ya lawama zinazotolewa wamekaa kimya kana kwamba hakuna kinachotokea. Au na wao wanasubiri wapelekewe majina au wanapaswa...
  13. Patandi

    CCM watatoka madarakani kwa njia ya kura ni muhimu kujiandikisha na kupiga kura

    Wanatishia eti usipojiamdikisha kupiga kura hutatambulika kama mkazi wa eneo husika na hutahudumiwa na kitongoji wa eneo hilo. Hii imekaeje?
Back
Top Bottom