Recent content by pat john

  1. P

    Upendo huvuta hata wanyama

    ulaaniwe!
  2. P

    Je nani anamkumbuka huyu mrembo?

    alitumia jina lisa in " coming to america"
  3. P

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    congratulations. It can be a nice peom for the ears.
  4. P

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Maprofessor wa kuchumia tumbo. Vigezo ni kufikria tumbo lako unapta hizo 60% na 40%.
  5. P

    Wazanzibar Mnawaona Wajumbe wenu Walivyo Wageuks?

    Nashindwa kuelewa. Mtu na akili timamu anasema tanganyika imeinyonya Zanzibar kwa miaka yote ya mungano. Loooo!!!!! Kuna utajiri gani Zanzibar ukilinganishwa na utajiri ulio Tanganyika. Hasira za kutoruhusiwa kujiunga na OIC zinawafanya wakose kuona ukweli kuwa wao ndio wamebebwa sana na...
  6. P

    Nairobi to host US’s Power Africa project

    Ungekuwa unafuatilia miradi ya wazara ya nishati under BRN,( ipo 29) ungejua kuwa Kenya hawana cha kutuzidi. Mradi wa Mtwara ambao ni wa TANESCO na Symbion (ya Marekani) ni 600 - 800MW. Bomba la gesi 2015 na miradi ya uzalishaji Dar ni karibu 3000MW. Ngoja bomba la gesi likamilike utasema...
  7. P

    Zanzibar haina uwezo kuchangia sawa na Bara’

    Mimi binafsi Wazanzibari huwa siwaelewi hata kidogo. Ni watu wa kulalamika tu. Ebu tuchukue population ya watu wa Dar es salaam, ni kubwa kuliko Waunguja na Wapemba. Kuna wilaya ambazo ni kubwa kuliko Zanzibar na Pemba. Maliasili zipo za kumwaga Tanganyika. Kwa ufupi hawa watu hawajui kula na...
  8. P

    Tazama picha ya aliyekua mpenzi wa mhusika wa mauaji ya ilala ,jijini dar

    Hujui? Alipenda majamboz mazito.
  9. P

    Ushahidi wa sms za m-pesa kutoka kwa kapuya kwenda kwa binti

    Jaribu kufikiri kidogo. Je, kapuya anayo namba moja tu ya airtel?
  10. P

    Askofu Kimario; Mauaji ya dr. Mvungi ni ya kimtandao

    That is quite right! Wataua wangapi? Wengine hawajazaliwa, ni suala la muda tu, damu za hao waliotolewa kafara zitawarudi.
  11. P

    Ukweli kuhusu CCM kumbeba Kapuya dhida ya Ubakaji alioufanya, huu hapa...

    Ndugu upo kwenye computer, hata huwezi kutumia cm kuthibitisha ukweli. Hujauona ushahidi katika maandishi hayo? inaelekea nawe unaweza kuwa na tabia kama kapuya.
  12. P

    Mtanzania: Hali si shwari Zanzibar; Pemba yataka uhuru kamili

    Ndiyo maana ya historia. Kama ww hilo hulijui utaona Mwalimu anasifiwa bure.
  13. P

    Uchochezi wa Dr. Slaa na utembezi wake wa vyuoni Marekani. Iweje aruhusiwe?

    Itabidi watu kama hao wafungiwe kama Mwanahalisi, Mwananchi na Mtanzania.
  14. P

    Lipumba: Waliohusika na kumpiga risasi Ponda wasakwe na kufikishwa mahakamani

    Sio tu ni professor UCHWARA bali daima huwa anongea PUMBA na jina lake ni LIPUMBA. Pumba hutoa pumba.
Back
Top Bottom