Yaani hii mada imenikumbusha mbali sana,kuna siku moja nilikua na Makregan wa Origino Komedi ndo nikawa namshangaa anabandua hayo makaratasi nikamuulizo kwa nini unabandua hayo makaratasi akaniambia ni mazoea tu...yaani ndo kashazoea kubandua,ila chakushangaza zaidi nilikuja nikajikuta hata mimi...
Mimi nahisi kama watanzania woote mtakuwa kitu kimoja na mkaligomea hilo suala basi si dhani kama litakuepo,ila watanzania ni waoga ndo maana mnanyanyaswa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.