Recent content by Pasu2015

  1. P

    Jipu Jingine TPA: Thousands of containers, vehicles dodged wharfage

    Duuh... hii ni kweli? Containers zaidi ya elfu 10???? Basi itakuwa ni zaidi ya jipu, ni kansa.
  2. P

    Shiriki shindano la #ChinaMade kujishindia simu ya Huawei au Xiaomi Arm Band

    #ChinaMade Mimi ni miongoni mwa watu ambao ni wakale sana (conservative person), yaani ukale umenikaa toka nakua na nafikiri ni kwa sababu ya jinsi baba na mama walivotulea katika familia yetu. Yani kwa wazazi wetu enzi hizo kijijini kutumia vitu kama simu na vingine kama hivyo ilichukuliwa...
  3. P

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Simpi tena kura Lowassa. Uozo uozo mtupu....
  4. P

    Yajue mafanikio ya Dr. John Pombe Magufuli katika kuwatumikia watanzania

    Anaweza Magufuli. Acha hao wengine waliojaa matusi vinywani mwao.
  5. P

    Urejeshaji wa Fomu za wagombea Urais, Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi

    Haina ubishi Magufuli ni mtu makini kuliko Lowassa. Time!!!
  6. P

    Polisi yaingilia kati zomea zomea ya waliovaa nguo za kijani na njano!

    Kuzomea ni uhuni ambao ukiachwa uendelee utaharibu misingi ya nchi hii. Najua wapo wanaotetea lakini watakutana na mikono ya dola. Hongera kova na polisi, washughulikiwe ipasavyo tena kimya kimya mmoja mmoja. Watasimuliana tu. Si vitisho ila heshima lazima iwepo hasa kwa akina mama.
  7. P

    Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa UKAWA

    kabisa. Mabadiliko tuliyokuwa tunayahitaji siyo ya huyu fisadi. Hana utashi wowote wa kuikomboa Tz kwani ni mtaalam wa ufisadi kwa muda mrefu. Na UKAWA wanajidanganya kuwa wataweza kumfundisha 'mbwa mzee mbinu za uwindaji'. Wamechemsha. Fisadi ni fisadi tu, na amebobea ktk hilo hawezi kuishi...
  8. P

    CHADEMA Tanga wamuunga mkono Slaa

    Mimi ni miongoni mwa tulioamua kunyamaza kama Dr. Slaa ingawa tunapuuzwa na kutukanwa kana kwamba hatuna maana. Lakini CDM ya kibabe itaivunja UKAWA na huyo fisadi walieungana nae hawatafika popote. Nasubiri anguko la UKAWA ili wana mabadiliko wa kweli tufikie kile ambacho wa-TZ wanakihitaji...
  9. P

    Genge la Lowassa ni janga la Taifa, wenye macho ya ziada walisaide Taifa hili

    Wakati wa kujiuzulu ktk sakata la richmond wapo waliomwambia kujiuzulu hakutoshi, anatakiwa ashitakiwe, wengine wakaenda mbali zaidi wakasema anyongwe. Leo wanasema zilikuwa ni tuhuma tu. Huku tuna ushahidi kibindoni wameweka mil. 180 na wameanza kutumika kama madodoki. Vijana tunatakiwa kuwa na...
  10. P

    Inapangishwa ipo Mlimani city

    Nipo Dar es salaam. Nataka nyumba ya kupanga ya kati ya Tshs.150,000 hadi 250,000/= kwa mwezi, iwe na bedroom 2, na sitting room 1. Iwe na umeme, na maji karibu au ndani kabisa. Penye usalama. Ipatikane kati ya maeneo haya: Kawe, Mwenge, Mbezi (Kimara), Magomeni, Kinondoni. na maeneo ya karibu...
  11. P

    UPDATES: Mgomo wa Madereva - Maeneo mengi nchini usafiri ni shida! Mei 04, 2015

    Kwa serikali yenye busara na mapenzi kwa wananchi wake, jambo kama hili lisingetokea. Mi najiuliza kuna uharaka gani wa serikali kuleta haya mabadiliko kwa madereva, again ni hatari sana pale serikali inaposhindwa kuwa convice hata madereva. Leo nimeshuhudia jinsi kulivo na tofauti ya kipato...
Back
Top Bottom