Kuna mtu ameenda kozi ya nyota, amesema amepata taarifa kua pale ccp wanaenda kuruta alaf kozi ya kopro walitakiw kwenda pale wanaenda sehem nyingine ili kusapisha kuruta, kwaio mambo yanaweza kua hadharan soon maafande tuendelee kushona,
Ni kweli ndugu yangu upo sahihi sana, hata namim kutafuta ni kutafuta pakuanzia ili mbeleni mambo yakae sawa, Plan yako umesha pata watu wangapi embu ni PM tuyajenge
Naitwa Pastory Augustino
Nipo morogoro
Naomba kama kunamtu anafahamu sehemu yenye uhitaji wa mwalimu wa masomo tajwa anisaidie aisee,
Level yangu ni diploma
Daa maisha bana Jana nmemfumania mchawi kaja gheto mm skuepo, nlichelewa kurudi nkamkuta nadokoa nyama, Ikabidi nimuulize iki kweli ndo kilichokuleata apa.,
Samahanini jamani naomba kuuliza
Kama mtu amaomba mchanganyiko
Yani mfano ameomba vyuo viwili vya afya na viwili vya ualimu kwa ngazi ya diploma, wanaangaliaga nini kukuchagua chuo kimoja wapo? Na ukizingatia vyuo vyote unavigezo.
Msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.