Uhalali wao utategemea Chama wanachokiwakilisha kuridhia kuwa kilituma majina yao kwa tume kama sheria inavyodai jambo ambalo katika kipindi cha hapo nyuma chama kimekuwa kikikanusha. Mpaka hapo chama kitakapotoa tamko hilo bado mtu anaweza kuwaita "wanaodaiwa wabunge"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.