Recent content by Password 1

  1. P

    Je hapa Nina mke kweli?atumia laki tatu ndani ya wiki3 akiwa ugenini katika harus

    Huko aliko naye anajiuliza kama mume kweli😂😂 Ila mimi mke hawezi kwenda kwao kwa ajili ya harusi kwa wk 3. Anafanya nini kwani? Hongera sana mkuu kwa kuwa na mke Bora kabisa.
  2. P

    Leo nimeaibika kwenye tendo

    Tena huwa napenda nimkojoze kabla hata ya bao la kwanza
  3. P

    Utoto katika mapenzi!

    Kwa taarifa yako, romance inafanya finishing ya utoto mliouanza. Usiwe serious sana na hawa watu, treat them like babies. Otherwise you'll become a certified permanent senior bachela.
  4. P

    Utoto katika mapenzi!

    Mapenzi ni utoto. Kama hutaki utoto achana na mapenzi.
  5. P

    Hivi kijana unaejielewa inakuaje hadi unaoa single mother?

    Najua bado ni mapema sana na sio kwamba najipingeza. Nasema kile kinachoendelea. Kuhusu jamaa kurudiana na mke wangu ni % ndogo sana kwani kuachana kwao kuliambatanq na mambo mengi. Hata hivyo nilishamweka wazi kuwa jamaa akitokea na akaamua kumrudia aweke wazi, nitakubali matokea ingawa ni...
  6. P

    Hivi kijana unaejielewa inakuaje hadi unaoa single mother?

    Mkuu, umefikiria waliobakwa? Naamini unajua single mothers wamezaa na wanaume. Je, waliowakimbia hao single mothers ni bora kuliko wanaoamua kuwaoa? Hili la kukaa kimya nafhani hata wewe linakuhusu. Mkuu, kunywa maji upunguze jazba. Kisha jipige kifuani mara 3 jiambie Mimi kidume. Nahisi...
  7. P

    Ampa talaka mke wake kisa kunyoa sehemu za siri alipokwenda msibani

    Kwani alifiwa na nani yake? Alikaa muda gani msibani? Uhusiano wake na marehemu na muda aliokaa msibani vinaweza kujua uhalali ya huyo mke kunyoa. Ni jambo fikirishi sana:. Mtu uko msibani then unapata wazo la kunyoa vuzi na kulitekeleza huko huko msibani
  8. P

    Ndoa yangu ina hali tete

    Hata akimpiga kimoja cha kimkakati mke akaridhika haina shida. Unaweza ukampiga goli nyingi na bado asiridhike. Huwa nasikia malejendi wanasema.
  9. P

    Ndoa yangu ina hali tete

    Mke wangu nimemzidi 17 yrs. Nikijiita mi mhenga au mzee huwa anakasirika sana, anasema mimi bado ni kijana. Mara nyingi huwq tunaingozana sehemu mbalimbali. Nikijiangalia nywele zangu za kichwani na kidevuni zimeanza kubadilika rangi kwa kasi sana. I'm 48 yrs old lkn kwake mi bado ni kijana...
  10. P

    Kabla na baada ya ndoa

    Alipata mimba akiwa chuon na jamaa akamkimbia. Mtoto ana miaka 9.
  11. P

    Kabla na baada ya ndoa

    Sawa ndg yangu, let's agree to disagree.
  12. P

    Kabla na baada ya ndoa

    Pole mkuu. Nimecheka kama mazuri
  13. P

    Kabla na baada ya ndoa

    You're right. Kachoka kukaa kwenye fake mode hahaha. Jamaa inabidi aingie kwenye adaptation mode
  14. P

    Kabla na baada ya ndoa

    Bado hiyo idadi haitoshi kuwabwaga single mothers. Kumbuka pia wenye shida ktk ndoa sio single mothers pekee, hata walioolewa wakiwa bikra wana shida zao. Tabia ya mtu na ukomavu wa akili huamua uhai wa ndoa
Back
Top Bottom