Recent content by passion_Amo

  1. passion_Amo

    Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

    Kasome uzi ulipoanzia unatetea kitu ambacho huwezi thibitisha, wewe ni mjinga na ujinga ni sifa. Ukitaka tukuelekeze uache ujinga au uwe mpumbavu kwa kugoma kuelewa.
  2. passion_Amo

    Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

    Rudi kasome uzi ulipoanza
  3. passion_Amo

    Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

    Sema babu na baba zangu walinikaririsha habari za roho lakini sina uthibitisho nazo. Unatetea kitu ambacho hukijui na huwezi kukitetea. roho ni stori kama ya serer mythology kule senegali
  4. passion_Amo

    Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

    Hakuna kitu kinaitwa roho. ni stori za vijiwe vya kahawa.
  5. passion_Amo

    Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

    Rudi kasome nilipoanza kuandika nafikiri hujaelewa nini kinachozungumzwa.
  6. passion_Amo

    Ndugu zangu Waislam mtaniwia radhi kidogo

    What can be asserted without proof can be dismissed without proof.
  7. passion_Amo

    Mungu kwanini asingeumba watu jamii moja, dini moja kama tunavyoishi kwenye dunia moja?

    Thibitisha mungu yupo? Kama huwezi tulia wenzako wameshindwa. Unao ushahidi kuwa huyo muumba yupo au ni stori za babu zako walikudanganya?
  8. passion_Amo

    ONYO: Hata maisha yakubane kivipi, usije jaribu kwenda kutafuta utajiri wa mashetani, pesa za mashetani hata waganga hawazitaki

    Kwanza thibitisha unapataje hizo pesa kwa masharti hayo? Na sio stori za vijiweni.
  9. passion_Amo

    Gigy Money na Jackline Wolper wahamia kwa Nabii Malisa

    Kwani hao mkuu wanashida gani?
  10. passion_Amo

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Mkuu, Kuna watu hawawezi kubali dini yake kuwa criticized sababu walishakuwa indoctrinated kwamba hiyo ni blasphemy ( kufuru). Lakini pia tusitukane imani za upande wowote ule. Tujadili kwa staha.
  11. passion_Amo

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Kasome reply zangu zote humu jf sijawahi amini story za mungu wala shetani. Hivyo ni pain relief mechanism unajaribu kujitengenezea kwa kuwa nimegundua nia yako ovu. Jaribu njia nyingine ya kupandikiza chuki hii huwezi.
  12. passion_Amo

    Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae

    Yaani Mkuu wanawake wapo wengi sana. Mtu kufanya hayo ni maamuzi yake tu ila sio kwamba wanawake wanahitaji pesa ndo upate mapenzi. Mwanaume anayefanya hayo ni tayari alishaathirika. Wanawake wapo wengi wasio na idadi.
  13. passion_Amo

    Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

    Mkuu, Sijakwambia kama kubishana sometimes negative comment kama hizi zinaua ndoto za watu wengi wanao mtazama shamsa kama inspirational kwao. Anapoona meseji kama hii unamjengea kwamba no way kufika pale halipo mpaka ajiuze anakata tamaa at first place bila kujaribu. Unaweza kuwa kweli...
  14. passion_Amo

    Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

    Kwani nikisema nilikuona unaingia na mwanaume guest house unaweza kupinga? Tusikilizishe hizo video ukimuliza na hakukana?
  15. passion_Amo

    Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

    Unaweza thibitisha ulichoongea ? Unaweza kuonyesha huyo jamaa wa benki anamlala? Embu tuma hizo video tuzione na sio stori za kutunga na stress zako za maisha.
Back
Top Bottom