Wakuu umeona ujio wa Davido???
Baada ya hasimu wake kuachia Album ya Made In Lagos(Wizkidayo)
Mtu mzima Davido ameachia Album yake ya A Better time ikiwa na ngoma 17.
Chris Brown,Nick Minaj,Young Thung na Nas wasanii wakimataifa walioshiriki humo..
Afrika mashariki Sauti Soul tu ndio...