Recent content by Pass Master

  1. P

    JamiiForums Tanzania Album

    Wizkidayo a.k.a StarBoy pamoja na Davido wote wameachia Album zao ambazo kwa sasa zimekuwa gumzo Afrika mpaka Worldwide. Kama umepata fursa ya kuzisikiliza ipi umeielewa zaidi? Wizkid MADE IN LAGOS Au Davido A BETTER TIME. Forgive Me.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Album ya Davido

    Jamaa hatari
  3. P

    JamiiForums Tanzania Album ya Davido

    Wakuu umeona ujio wa Davido??? Baada ya hasimu wake kuachia Album ya Made In Lagos(Wizkidayo) Mtu mzima Davido ameachia Album yake ya A Better time ikiwa na ngoma 17. Chris Brown,Nick Minaj,Young Thung na Nas wasanii wakimataifa walioshiriki humo.. Afrika mashariki Sauti Soul tu ndio...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Mkuu mbona kwangu ina zingua
  5. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Bila VPn je?
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Ile Smile imeimbwa kifundi sana...Bora ww mkuu umeilewa Album....
  7. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Kizuri kinajiuza,Endelea kusikiliza Singeri mkuu
  8. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Mimi ni nani nipinge mawazo yako???? Album mbovu alafu inakimbiza kinoma tena Worldwide....😀
  9. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Kibongo bongo bado labda Apple Music
  10. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Hivi una data za wasanii wetu Huko Spotify? Come Closer ya Wizkid ilifikisha Streaming milion 98 Huko Spotify....Wanalipa mara 3 ya Youtube😀😀😀😀
  11. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Ndio tumemaliza hapo😀 Wenzetu Wanafanya mabalaa Spotify huko
  12. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Hatari huo Mdundo🔥
  13. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Kama nani😀
  14. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Ni kweli mdau Afrobeats kweliii...kama hiyo True Love dah🙌
  15. P

    JamiiForums Tanzania Wizkidayo Starboy

    Ni🔥🔥🔥 Kidayo ni jau🙌
Back
Top Bottom