Recent content by paskalina

  1. P

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Kama huku Tanga jamani Leo siku ya nne
  2. P

    Mkipiga mafataki yenu mtoe taarifa mapema, mtatuua kwa presha!

    Yaani,kama mimi tu,nimeshtuka nikajua janga la moto [emoji17][emoji17]
  3. P

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Kuna ndugu yangu kung'amuzi chake ni Cha zamani,ila ghafla tu hakionyeshi,yaani hakipitishi moto kabisa,anauliza mnatengeneza Bure au mpaka alipie,au akirudisha Cha zamani Ili apate kipya Kuna punguzo?
  4. P

    Msaada: Matiti yananiuma na kutoa maziwa mazito

    Jana mwisho mkuu, halafu ni chuchu ndio zinauma
  5. P

    Msaada: Matiti yananiuma na kutoa maziwa mazito

    Asante mkuu, ni chuchu sio yote
  6. P

    Msaada: Matiti yananiuma na kutoa maziwa mazito

    Asante mkuu, ni chuchu sio yote
  7. P

    Msaada: Matiti yananiuma na kutoa maziwa mazito

    Asante mkuu,ni chuchu sio yote
  8. P

    Msaada: Matiti yananiuma na kutoa maziwa mazito

    Habari za saa hizi wakuu,nimepata tatizo la MATITI yanauma sana na kutoa maziwa mazito sielewi naomba msaada
Back
Top Bottom