Mleta maada ana maana pana sana, falsafa za wasomaji ndiyo tabu. Hatupendi kusoma na kuelewa kilichoandikwa na ndiyo maana kumejaa mwanza vs arusha nyingi ktk hii thread. Ondoeni ukanda, uzi hauhitaji mapenzi ya mikoa yenu. Huu uzi unazungumzia fursa za kiuchumi zinazopatikana mwanza na namna...
Mlimalize kweli elimu ya shule ya msingi?. We nawe unasema umetembea hahahaha kuna shida hapa. Anyway unatembea bila malengo kwahiyo ulipoteza mda na hela yako bure. Au na wewe una dope's syndrome. Yaani unabisha wakati jibu unalifahamu.
Kila kitu Arusha inazidiwa isipokuwa hoteli tu, hotel za Arusha kidogo zipo juu sababu ya utalii, otherwise Arusha kwa mwanza bado sana. Na wingi wa watu wa mwanza si tu kwa wazawa wa mkoa huu bali watu kutoka mikoa mbali mbali ikiwemo Arusha wanahamia mwamza kwasababu ya fursa nzuri za...
How local mwanza is??. We akina baruan muhuza, na hao wengine uliowataja walishakuambia kuna u_local gani mwanza au unataka kutuaiminisha kuwa ulichoandika ni sahihi?. We hata mwanza huijui unasubiri usimliwe. Ungenyoosha maelezo unachoongelea wewe ni kwa category ipi ili tunaoyafahamu haya...
Maneno mengi mno, sema Arusha ni mkoa wa KITASISI, inakuwa kwa nguvu kubwa ya serikali wakati Mwanza inajengwa na WAZAWA. Hata hivyo Arusha bado sana. The geographical potentiallity of mwanza city sounds more better economically. Kama hukusoma uchumi huwezi kujua haya. Ndio maana pamoja na...
We jamaa umenena, tatizo la watu wa Arusha ni ubishi tu, kuna mmoja aliingiza uwanja wa KIA na hospitali ya KCMC utafikiri vipo Arusha siye tulimdharau maana hakuwa na pointi.
Uchangiaji wetu umetawaliwa na mapenzi ya majiji yetu tutokayo hivyo inapelekea kutukanana na kutufanya tuonekane wahuni. Kwa factor hizo tu kuna wengine tunashindwa kuchangia chochote maana tunapoteza ushawishi wa wadau kusoma thread za namna hii. Kwa ninavyojua Arusha ina umuhimu wake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.