TITLE: UKWELI KUHUSU NAMBA YA SIMU YA KIMATAIFA "+259"
ANALYST: JOSEPH MAGATA
Cell: +255 75 4710684
PUBLICATION: RAIA MWEMA, pg. 12
Juni 8, mwaka huu Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman Masoud alitoa hotuba ambayo sehemu ninayoinukuu anasema,
"Kwenye serikali hiihii ambayo...
Hoja siyo ku criticise. Hoja ni kwamba jamaa humu wametoa maelezo yanayoeleweka hadi tusioelewa tumeelewa.
Mimi mmojawapo sikuwa naelewa lakini niliposoma thread hii nimeelewa.
Tabu ni baadhi yenu kama wewe mmeng'ang'ania kilichomo kichwani na ambacho ni wrong.
Kwanza waliotuelewesha hadi...
Ndiyo hivyohivyo. Niwemugizi ksongea kiroho. Halafu mapunguwani wanakimbilia kidunia.
Pia usidhani utaratibu wa kumteua kardinali ni sawa na rais kumteua waziri.
Watakatifu mashahidi wa Uganda walipewa utakatifu kwa kusuguana na watawala.
Kigezo cha ujasiri katika kanisa katoliki ni kukemea viongozi wanaojidhani wameshindikana kama akina Hitler, Napoleon, Gorbechov.
Hajawahi kuomba fadhira yoyote toka serikalini.
Kama ni ile ndege ni JPM alijipendekeza mwenyewe kuipeleka.
Kanisa lisingekosa ndege ya kumsafirisha toka Moshi hadi Dar.
Vilevile jiulize kwa nini alianguka wakati jajawahi kuugua hivyo maishani mwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.