Corona: Vita ya kiuchumi Tanzania dhidi ya nani?

Ungelikuwa unajua uchumi wewe, usingekuja na mada inayokuchora namna hii. Hii nikwa kuwa una upeo mdogo sana unaoishia kwenye kulima korosho na kusafirisha makinikia. Ninashauri Dr. Magufuli anzishe elimu ya ngumbaru kwa kujenga uelewa kwa wanaojua kusoma na kuandika.
Ndio sisi ngumbaru tunataka kupambana na hao maadui watajeni basi.
 
Mabibi na mabwana, kumekuwa na habari hii kuwa ugonjwa huu ni vita vya kiuchumi. Tena mlengwa ni Tanzania.

Habari hizi zimeendelea kuwapo ikisisitizwa kuwa vita vya uchumi ni ngumu zaidi kuliko vita nyingine zikiwamo tuli zowahi kupigana. Yaani vikiwamo tulivyowahi kushinda kama vya nduli Amini, au hata vya kuwasambaratisha M23.

Kwa bahati mbaya, matamshi haya ambayo wakuu wetu wamekuwa wakiyatoa mara kwa mara, yamekuwa hayana ufafanuzi wa kutosha kiasi kumekuwa na mkanganyiko, zaidi ya kuelewa.

Siri ya ushindi katika vita tulivyopigana tukashinda, ilikuwa ni uwazi wa viongozi wetu ambako ndiko kulikopelekea umoja wetu.

Mfano, sababu za wazi kabisa za kumpiga Amini zilikuwapo. Hivyo nia ikawepo, ikizingatiwa kuwa hata uwezo pia tulikuwa nao.

Katika vita hivi vya uchumi tunavyoaminishana kuwa vipo dhidi yetu, hivi adui yetu hasa ni nani? Tuna uhakika gani na hao tunaodhani kuwa kweli ni adui zetu?

Vipi nia, sababu na hata uwezo wa kuvipigana vita hivyo kama vipo?

Labda tungeanzia hapo kwenye kuwatambua adui zetu kwanza, ili tujengane kiuelewa kama watanzania wote kwanza, kabla ya kujishika kibwe kibwe kumpambania mama Tanzania tukiwa tumegawanyika?

Ninawasilisha.
If you cant beat them join them!!!!
 
Ungelikuwa unajua uchumi wewe, usingekuja na mada inayokuchora namna hii. Hii nikwa kuwa una upeo mdogo sana unaoishia kwenye kulima korosho na kusafirisha makinikia. Ninashauri Dr. Magufuli anzishe elimu ya ngumbaru kwa kujenga uelewa kwa wanaojua kusoma na kuandika.
Jibu hoja acha porojo
 
Mabeberu watasingiziwa kila jambo ... Madini, Korosho, Mbaazi, na sasa Corona ..... Hivi Tanzania kuminywa kwenye uchumi kweli wanahitaji kupandikiziwa Corona? Tuliona jinsi Zimbabwe walivyonyong'onyezwa ..... Kwa Tanzania wanahitaji miezi miwili tu kutuweka kwenye magoti!!

Hii vita vya uchumi ni propaganda tu ... sijui ina malengo gani hasa!!
 
Siku moja kuwa na masaa 48 haikuwa ulimi kukosa mfupa.

Barakoa 12/person @ 4hrs signified further to that effect.

Hazards of memorising. Once mistakes are introduced in the speech there is no course correction.
 
Tuki
Mabibi na mabwana, kumekuwa na habari hii kuwa ugonjwa huu ni vita vya kiuchumi. Tena mlengwa ni Tanzania.

Habari hizi zimeendelea kuwapo ikisisitizwa kuwa vita vya uchumi ni ngumu zaidi kuliko vita nyingine zikiwamo tuli zowahi kupigana. Yaani vikiwamo tulivyowahi kushinda kama vya nduli Amini, au hata vya kuwasambaratisha M23.

Kwa bahati mbaya, matamshi haya ambayo wakuu wetu wamekuwa wakiyatoa mara kwa mara, yamekuwa hayana ufafanuzi wa kutosha kiasi kumekuwa na mkanganyiko, zaidi ya kuelewa.

Siri ya ushindi katika vita tulivyopigana tukashinda, ilikuwa ni uwazi wa viongozi wetu ambako ndiko kulikopelekea umoja wetu.

Mfano, sababu za wazi kabisa za kumpiga Amini zilikuwapo. Hivyo nia ikawepo, ikizingatiwa kuwa hata uwezo pia tulikuwa nao.

Katika vita hivi vya uchumi tunavyoaminishana kuwa vipo dhidi yetu, hivi adui yetu hasa ni nani? Tuna uhakika gani na hao tunaodhani kuwa kweli ni adui zetu?

Vipi nia, sababu na hata uwezo wa kuvipigana vita hivyo kama vipo?

Labda tungeanzia hapo kwenye kuwatambua adui zetu kwanza, ili tujengane kiuelewa kama watanzania wote kwanza, kabla ya kujishika kibwe kibwe kumpambania mama Tanzania tukiwa tumegawanyika?

Ninawasilish
Tukiwa tunatafuta pesa kwao tunawaita nchi rafiki, tukipewa misaada nao tunawaita nchi wahisani, tukipewa mikopo tunawaita wadau wa maendeleo. Tukikolewa tunawaita mabeberu hawatutakii memba mara vita ya uchumi. Je anayekupa fedha kuchangia bajeti yako anafanyaje vita na wewe wakati unamtegemea.
 
Mfugale flyover na zile ndege zilizonunuliwa cash zimetikisa dunia nzima haswa mabeberu na zahanati 361, viwanda 8000,ajira milioni 6, elimu bure, kushuka kwa mfumuko wa bei,stendi za kisasa, mabeberu yanahaha sana
Wenzetu wamefika sayari ya Mars juzi na kutuwekea video ya gari la tani moja likishuka kwenye sayari hiyo ,wewe unazungumzia stendi mpya?
Afanalek, ushamba mzigo
 
Mfugale flyover na zile ndege zilizonunuliwa cash zimetikisa dunia nzima haswa mabeberu na zahanati 361, viwanda 8000,ajira milioni 6, elimu bure, kushuka kwa mfumuko wa bei,stendi za kisasa, mabeberu yanahaha sana
Wewe unafikiria kujenga miundombinu BEBERU yupo sayari ya Mars anatafiti kwa Matrilioni, huoni kuna utofauti mkubwa hapo, wewe hata madini uliypewa na mwenyezi Mungu huna vifaa vya kuchimbia? Ndege unazotamba nazo unanunua kwake sasa afanye vita na wewe ya nini?
 
Ungelikuwa unajua uchumi wewe, usingekuja na mada inayokuchora namna hii. Hii nikwa kuwa una upeo mdogo sana unaoishia kwenye kulima korosho na kusafirisha makinikia. Ninashauri Dr. Magufuli anzishe elimu ya ngumbaru kwa kujenga uelewa kwa wanaojua kusoma na kuandika.
Kumbe na wewe ni mjinga kiasi hiki😭
 
Mabibi na mabwana, kumekuwa na habari hii kuwa ugonjwa huu ni vita vya kiuchumi. Tena mlengwa ni Tanzania.

Habari hizi zimeendelea kuwapo ikisisitizwa kuwa vita vya uchumi ni ngumu zaidi kuliko vita nyingine zikiwamo tuli zowahi kupigana. Yaani vikiwamo tulivyowahi kushinda kama vya nduli Amini, au hata vya kuwasambaratisha M23.

Kwa bahati mbaya, matamshi haya ambayo wakuu wetu wamekuwa wakiyatoa mara kwa mara, yamekuwa hayana ufafanuzi wa kutosha kiasi kumekuwa na mkanganyiko, zaidi ya kuelewa.

Siri ya ushindi katika vita tulivyopigana tukashinda, ilikuwa ni uwazi wa viongozi wetu ambako ndiko kulikopelekea umoja wetu.

Mfano, sababu za wazi kabisa za kumpiga Amini zilikuwapo. Hivyo nia ikawepo, ikizingatiwa kuwa hata uwezo pia tulikuwa nao.

Katika vita hivi vya uchumi tunavyoaminishana kuwa vipo dhidi yetu, hivi adui yetu hasa ni nani? Tuna uhakika gani na hao tunaodhani kuwa kweli ni adui zetu?

Vipi nia, sababu na hata uwezo wa kuvipigana vita hivyo kama vipo?

Labda tungeanzia hapo kwenye kuwatambua adui zetu kwanza, ili tujengane kiuelewa kama watanzania wote kwanza, kabla ya kujishika kibwe kibwe kumpambania mama Tanzania tukiwa tumegawanyika?

Ninawasilisha.
Kwa kweli na mimi naomba nitajiwe angalau nchi moja tu adui wa Tanzania. Au ni hisia potofu tu?
 
Wewe unafikiria kujenga miundombinu BEBERU yupo sayari ya Mars anatafiti kwa Matrilioni, huoni kuna utofauti mkubwa hapo, wewe hata madini uliypewa na mwenyezi Mungu huna vifaa vya kuchimbia? Ndege unazotamba nazo unanunua kwake sasa afanye vita na wewe ya nini?
vita ni kali mkuu inaendelea
 
Mfugale flyover na zile ndege zilizonunuliwa cash zimetikisa dunia nzima haswa mabeberu na zahanati 361, viwanda 8000,ajira milioni 6, elimu bure, kushuka kwa mfumuko wa bei,stendi za kisasa, mabeberu yanahaha sana
Kama hujamkebehi mkuu na sifa zako, basi una walakini katika fikra. Hao unaowaita mabeberu, wanaifika sana na sisi tukiwa na uwezo wa kuwa soko la bidhaa zao - sio tukiwa hatuna uwezo kiuchumi. So, kukua kwetu kiuchumi ndio jambo jema kwao. Hata hii misaada ni kutaka angalau tuwe na uwezo unaowiana!! Vita ya kiuchumi ni propaganda tu kama zingine - Kilimo Kwanza, Uwazi na Ukweli, Kilimo ndio uti wa mgongo wa Taifa. Ogopa sana unapoambiwa uko na adui unayepigana nae kifikra tu!! Anakuwa kama imani za majini. Unajikuta huna mbinu za kupambana nae zaidi yakuamini hatokudhuru!! Ndio maana tunaitwa wachawi sana kwa sababu ni watu wanaopenda kusikia "mafanikio yangu yamekaliwa na jirani mchawi"
 
Ni Perception ya maskini walio wengi kuamini kuwa kila anapokwama ni jitihada za majirani zake kumrudisha nyuma. Na maskini kamwe hakuwahi kuamini kuwa yeye mwenyewe anaweza kuwa ni chanzo cha matatizo yake mwenyewe.
Hii ndiyo inatakiwa iwe summary ya hii thread na pia inaweza kuwekwa kwenye vitabu vya kufundishia shule zetu. Asante sana. Maskini siku zote huaamini kuwa sababu ya kukwama kwake inaletwa na mtu mwingine na mara nyingi anadhani ni sababu ya wivu. Nenda vijiji vyenye umaskini uliopitiliza uone. Huko ndiko zilikolala imani za kulogana ili wasiendelee. Hata baba yule nadhani mazingira aliyokulia ni kuamini kuoneana wivu na kulogana ndiyo maana anaamini corona ni vita ya uchumi kwa Tanzania.
 
Back
Top Bottom