Recent content by pascasius kaiser

  1. P

    Material wife ni mwanamke wa dezain gani?

    Material girl ni wadada warembo wanaoishi fake life,huyataka maisha ya juu na huigiza kuyaishi lakini kwa kujiweka kwa wanaume walionazo.nahuendeshwa na tamaa zao
  2. P

    Nimeibiwa sim lakini bado.iko hewani

    Wapendwa nisaidieni nimeibiwa simu ambayo mpaka sasa iko hewani mtu anapokea na haongei na akiongea ananizungusha tu,je kuna jins navoweza track kwa kutumia iyo namba ya simu ?maana emai namba yake sikua nayo
  3. P

    MSAADA SAMSUNG S6 KUSHINDWA KUA APTDATE

    thanx so nisistumie ila ya kawaida ya about divice- alaf softiwere update- ambayo aifunguki .(ambayo softiwere update ndio haifuki kabisa)
  4. P

    samsung kushindwa kunshare picha

    hii hapa ianatokea unapotaka ku share picha moja ,sim inakataa na kuandia sorry the systeam of android is stopped lakini neno ilo linatoka fastaer mno na kuliondoa upes ,unapo cklick picha zaid ya moja inaweza ku share lakini inabagua ina share whats upp na facebook bas mitanadao kama inasta na...
  5. P

    MSAADA SAMSUNG S6 KUSHINDWA KUA APTDATE

    samahnn samsung yangu s6 inashindwa kuampdate kutkoka vesion moja kwenda nyingine jambo ambalo linaifanya iwe very slow na ukienda setting kwenye software update inashindwa kufungua kuleta ile menyu ya ku apdate .
Back
Top Bottom