Recent content by Pascal Msoma

  1. P

    Uvamizi wa Gambia, umezidi kuipunguzia Afrika heshima nje ya Afrika!

    Huyo kaleta habari gani za kipuuzi, sasa mtu kushindwa halafu hataki kuachia madaraka nini kifanyike?
  2. P

    Hivi ndivyo Roman Catholic ilivyo

    Wasabato, ni wanafiki, wameendekeza majungu na wivu zidi ya imani nyingine
  3. P

    Kardinali Pengo: Maisha yamekuwa nafuu sana awamu hii

    Huyo mzee bora angekaa kimya tu
  4. P

    Kwa waliozoea vya kunyonga, kwa Maxence Melo wamegusa nyaya!

    Watu bado wajinga, sheria za Nchi zinakandamizwa halafu unaleta mawazo yako ya kipuuzi kuwa tuifate serikali?? Your very ignore
  5. P

    Umoja wa Ulaya wamtaka Rais Magufuli aruhusu mikutano ya siasa

    Eu bora waseme kama nchi niya mfumo wa vyama vingi kwann rais wenu azuie mikutano?
  6. P

    Rais Magufuli akiendelea kuongea namna hii atafanikiwa sana

    Kweli mnaota ndoto za mchana kwa kauli ya kusema mayala maana yake njaa???!!
  7. P

    Kuna viongozi wa Dini nchi nyingine wanafiki wakubwa kama hawa wa Tanzania?!

    Hapo umenena, wakati wa kikwete walitoa kweli matamko lkn sasa kimyaa. Wanafiki wakubwa hawa
  8. P

    Kitendo cha ITV kufumbia macho tukio kubwa la kuvurugwa kwa uchaguzi wa Mayor Kinondoni

    Nina mpango wa kuacha kuona itv kama nilivyo acha kuona tbc
  9. P

    Meli vita hatari zaidi ulimwenguni kwa sasa

    Marekani sio taifa la mchezo tulieni tu kama hamjui historia ya Taifa lile
  10. P

    Nimejisikia uchungu mkubwa, sababu nafahamu historia ya Mradi wa Hospitali ya Mama na Mtoto Arusha

    Mkuu nimekusoma lkn usivunjike moyo utawala huu wa kijinga una mwisho
  11. P

    Mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Arusha Godbless Lema

    Bado lowassa anawatesa tu na mtakoma mwenzenu kafariki dar.
  12. P

    Mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Arusha Godbless Lema

    Wewe uliye comment kuwa lema kununuliwa sizani kama akili yako ni timam
  13. P

    Rufaa ya Kafulila: Mpambano bado unaendelea Tabora

    Komaa kafulila Mungu awe nawe ili haki itendeke
Back
Top Bottom