The big boss ni rais wa nchi, rais wa JMT ambayo ndio nchi, Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT.
Hakuna rais wa Tanganyika, kwasababu Tanganyika doesn't exist anymore. Baada ya Muungano, zile nchi zote mbili, Tanganyika and Zanzibar, died and buried, ila ile sehemu iliokuwa nchi ya Zanzibar...