Mkuu Chizi, Chizi Maarifa japo kuna watu watakubeza, lakini sisi wa jicho la tatu tunakuelewa and we see your logic, wewe japo ni chizi, ila sio wale ma chizi wemye uchizi, wewe ni chizi maarifa!.
Naunga mkono hoja yako na in fact niliisha iandikia makala humu,
Hakuna Ubaya Wowote kwa Mtu...
Mbunge kutoonekana Bungeni, hakumaanishi ni mtoro, kwasababu hatakiwi kuripoti kwako bali ofisi ya Spika!
Ili mtu uchaguliwe mbunge, sio lazima upige kura, as long as umechaguliwa na umeapishwa, wewe ni mbunge halali!.
Yes analipwa mshahara na posho zote!
Wewe kama mwananchi wa Kibaha, sio...
Huyu Mhe. Simai, sio mtu wa mchezo mchezo, japo ni ni mtu wa misimamo isiyoyumba ila pia ni..., naomba nisimalizie!, ili aliwahi kumzodoa Dr. Mwinyi, akamtupia barua ya kujiuzulu na kujilipua kama alivyofanya Polepole, Simai kujiuzulu ni ushujaa mkubwa kama Nyerere alivyojiuzulu U-PM. Anastahili...
Hakuna anayeweza kuthibitisha uwepo wa Mungu kwasababu Mungu ni Spiritual powers, hakuna mtu anauona upepo ila upo, hakuna mtu anaona waves, hakuna mtu anaona electrons, protons na neutrons, bali matokeo yake ndio yanaonekana, God is power, haonekani bali the manifestations ya powers zake na...
Duh...!, Mkuu Kiranga, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko hili kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Hawa jamaa ni media ya mabeberu, jarida la the Economist, walimsakama sana Magufuli, Baba wa watu alipotwaliwa wakashangilia na kuanza vizuri na Samia kwa kumsifu sana...
Duh...!, Mkuu Kiranga, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko hili kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Hawa jamaa ni media ya mabeberu, jarida la the Economist, walimsakama sana Magufuli, Baba wa watu alipotwaliwa wakashangilia na kuanza vizuri na Samia kwa kumsifu sana...
Duh...!, Mkuu Kiranga, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko hili kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Hawa jamaa ni media ya mabeberu, jarida la the Economist, walimsakama sana Magufuli, Baba wa watu alipotwaliwa wakashangilia na kuanza vizuri na Samia kwa kumsifu sana...
Mkuu MTAZAMO , naunga mkono hoja asilimia 100% kwa 100%. Kuna watu niliwashauri, Thamani Kuu ya Tundu Lissu ndani ya CHADEMA ni Ipi Kati ya Uwezo wa Uenyekiti wa chama au Uwezo wa kukipeleka chama Ikulu 2025 ?
Nikashauri Kama HII Sauti ni ya Kwake YEYE Mwenyewe,na Aliyepangiwa,kwenye Sauti Hiyo...
Ni kweli media zina hali mbaya, na waandishi tuna hali mbaya, mimi mwenyewe nikiwemo, ila
Nimeandika sana kuhusu hali ya uchumi wa vyombo habari
Media ni Mhimili Muhimu kama ile mitatu ila ni dhaifu kiuchumi. Je, imefika wakati wapewe Ruzuku au iachwe ipambane na hali yake?
Siku ya Uhuru wa...
Mode, niliomba tuwe na jukwaa la mambo ya spiritual powers, zamani tulikuwa na jukwaa la Dini na Imani, lirudishwe, tuwasaidie watu kuwajenga kiimani, na pia litasaidia wahubiri matapeli wasizizi kuwatepeli watu wakijifanya wana nguvu, kumbe hizo nguvu kila mtu anazo, tuwafunze kuzifungua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.