Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Kwa vile kimataifa Zanzibar sio nchi, hivyo rais wa Zanzibar ni ceremonial tuu, ila kwa ndani ya Zanzibar ni rais kamili wa sehemu ya JMT inayojitegemea kwa utawala wake wa ndani. Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT, nchi ni moja tuu, JMT!. P
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    The big boss ni rais wa nchi, rais wa JMT ambayo ndio nchi, Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT. Hakuna rais wa Tanganyika, kwasababu Tanganyika doesn't exist anymore. Baada ya Muungano, zile nchi zote mbili, Tanganyika and Zanzibar, died and buried, ila ile sehemu iliokuwa nchi ya Zanzibar...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Muungano wetu kimataifa ni muungano wa union, nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja, ya JMT, yenye rais mmoja, serikali moja, uraia mmoja wa JMT. P
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Rais wa Zanzibar ndani ya muungango ni rais wa Zanzibar, ambayo ni sehemu ya JMT inayojitemea, ila kimataifa, rais wa Zanzibar ni rais jina tuu kwasababu Zanzibar sio nchi, ni sehemu ya JMT. P
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Dalili zote zinaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu mnaosubiri katiba Mpya mnapoteza Mda

    Kwa sisi wa 60's, tumesoma 70's shule zilikuwa Kayumba tuu, na tukifundishwa na waalimu wa UPE. P
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Imesaidia sana kui stabilize Zanzibar, tukianzisha na huku bara, then ACT wakishinda Zanzibar watapewa, lakini kwa mfumo huu uliopo, kwa mujibu katiba rais wa Zanzibar ni mjumbe wa cabinet ya JMT, tanzania hatuna sheria ya serikali ya mseto, hivyo hata upinzani ukishinda Zanzibar, hauwezi...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Naunga mkono hoja, kwa asilimia 100% chini ya 100% P
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    No sio mgambo wote hawalipwi mishahara, hata huku auxiliary polisi wote na askari kama Tanapa, Fire, wale wa makampuni ya ulinzi, wote wameajiriwa na wanalipwa. Wasiolipwa ni mgambo wa jiji ndio wanalipwa posho tuu P
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Dalili zote zinaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu mnaosubiri katiba Mpya mnapoteza Mda

    Sisi watu wa Kanda ya Ziwa, hatutazwizwi kabisa na kukosea lugha za mabeberu, and we have never been proud kuzungumza kizungu!, asante kinisaidia kunirekebisha, sisi watu wa D2, hata kingereza chetu ni hivyo vyo chakuombea maji!. P
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Bila CCM madhubuti, Tanzania itayumba

    Naunga mkono hoja. P
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Dalili zote zinaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu mnaosubiri katiba Mpya mnapoteza Mda

    Be optimistic than pessimist!. P
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Wale, KMKM, JKU na vikosi vya SMZ wote ni migambo tuu, sio dola!. P
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mahojiano kati ya Jaji Sinde Warioba na Jenerali Ulimwengu atuwekee hapa please

    Sorry kumbe mimi ndie nimepitwa na wakati. P
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mahojiano kati ya Jaji Sinde Warioba na Jenerali Ulimwengu atuwekee hapa please

    Next time ukiomba kitu be specific, na ukipewa, iangalie, hii ndio latest interview ya Sinde na Jenerali P
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mahojiano kati ya Jaji Sinde Warioba na Jenerali Ulimwengu atuwekee hapa please

    https://youtu.be/sZv8yMHKNII?si=KQrMTFN1h9F_XeZQ P
Back
Top Bottom