Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    Mh. Spika kutokana na kile kilichofanywa na huyu mgeni, Je si wakati sasa wa kuamua hili liwe kitaifa?

    Mkuu Chizi, Chizi Maarifa japo kuna watu watakubeza, lakini sisi wa jicho la tatu tunakuelewa and we see your logic, wewe japo ni chizi, ila sio wale ma chizi wemye uchizi, wewe ni chizi maarifa!. Naunga mkono hoja yako na in fact niliisha iandikia makala humu, Hakuna Ubaya Wowote kwa Mtu...
  2. Pascal Mayalla

    KERO Yuko wapi Mbunge wetu wa Kibaha Mjini? Bungeni haonekani, Jimboni haonekani!

    Mbunge kutoonekana Bungeni, hakumaanishi ni mtoro, kwasababu hatakiwi kuripoti kwako bali ofisi ya Spika! Ili mtu uchaguliwe mbunge, sio lazima upige kura, as long as umechaguliwa na umeapishwa, wewe ni mbunge halali!. Yes analipwa mshahara na posho zote! Wewe kama mwananchi wa Kibaha, sio...
  3. Pascal Mayalla

    Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha Nida, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Duh...!, kumbe ni Iliboru!, ndio maana anasumbua sana!, hatutakagi ujinga!. P
  4. Pascal Mayalla

    Wazanzibar waelekezwa kuachana na kitambulisho cha Nida, waambiwa watumie cha Mzanzibar Mkaazi

    Huyu Mhe. Simai, sio mtu wa mchezo mchezo, japo ni ni mtu wa misimamo isiyoyumba ila pia ni..., naomba nisimalizie!, ili aliwahi kumzodoa Dr. Mwinyi, akamtupia barua ya kujiuzulu na kujilipua kama alivyofanya Polepole, Simai kujiuzulu ni ushujaa mkubwa kama Nyerere alivyojiuzulu U-PM. Anastahili...
  5. Pascal Mayalla

    Japo Kuna Vitu Vinatokea Kwa Kudra Tuu za Mwenyezi Mungu, Je Unaamini Kuna Watu Wana Powers za Kumkudrisha Mwenyeezi Mungu?, Amini Usiamini, Wapo!

    Hakuna anayeweza kuthibitisha uwepo wa Mungu kwasababu Mungu ni Spiritual powers, hakuna mtu anauona upepo ila upo, hakuna mtu anaona waves, hakuna mtu anaona electrons, protons na neutrons, bali matokeo yake ndio yanaonekana, God is power, haonekani bali the manifestations ya powers zake na...
  6. Pascal Mayalla

    Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    Mtu akipiga kura, una uwezo kujua kama amepiga au hajapiga?. P
  7. Pascal Mayalla

    TZ Trends & Analysis: Hoja 30 za The Economist Kumhusu President Samia. Kuna za Kweli, za Uongo na Uzushi na Kutaka Kumpangia Watakacho Mabeberu, Jee?

    Duh...!, Mkuu Kiranga, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko hili kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani. Hawa jamaa ni media ya mabeberu, jarida la the Economist, walimsakama sana Magufuli, Baba wa watu alipotwaliwa wakashangilia na kuanza vizuri na Samia kwa kumsifu sana...
  8. Pascal Mayalla

    Samia tumaini jipya Tanzania: The Economist baada ya kumsakama sana Magufuli, sasa angalau lina matumaini na Samia, laanza naye vizuri

    Duh...!, Mkuu Kiranga, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko hili kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani. Hawa jamaa ni media ya mabeberu, jarida la the Economist, walimsakama sana Magufuli, Baba wa watu alipotwaliwa wakashangilia na kuanza vizuri na Samia kwa kumsifu sana...
  9. Pascal Mayalla

    Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    Duh...!, Mkuu Kiranga, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko hili kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani. Hawa jamaa ni media ya mabeberu, jarida la the Economist, walimsakama sana Magufuli, Baba wa watu alipotwaliwa wakashangilia na kuanza vizuri na Samia kwa kumsifu sana...
  10. Pascal Mayalla

    Mtu aliyeandaliwa na Mungu vs Mtu aliyejiandaa au kuandaliwa na watu

    Mkuu MTAZAMO , naunga mkono hoja asilimia 100% kwa 100%. Kuna watu niliwashauri, Thamani Kuu ya Tundu Lissu ndani ya CHADEMA ni Ipi Kati ya Uwezo wa Uenyekiti wa chama au Uwezo wa kukipeleka chama Ikulu 2025 ? Nikashauri Kama HII Sauti ni ya Kwake YEYE Mwenyewe,na Aliyepangiwa,kwenye Sauti Hiyo...
  11. Pascal Mayalla

    Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Zaidi ya humu jf, je wewe unanifahamu mimi kama ni elfunea, lakinea, milionea au bilionea?. P
  12. Pascal Mayalla

    Maxence Melo: Hali ya Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari ni mbaya

    Ni kweli media zina hali mbaya, na waandishi tuna hali mbaya, mimi mwenyewe nikiwemo, ila Nimeandika sana kuhusu hali ya uchumi wa vyombo habari Media ni Mhimili Muhimu kama ile mitatu ila ni dhaifu kiuchumi. Je, imefika wakati wapewe Ruzuku au iachwe ipambane na hali yake? Siku ya Uhuru wa...
  13. Pascal Mayalla

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Mode, niliomba tuwe na jukwaa la mambo ya spiritual powers, zamani tulikuwa na jukwaa la Dini na Imani, lirudishwe, tuwasaidie watu kuwajenga kiimani, na pia litasaidia wahubiri matapeli wasizizi kuwatepeli watu wakijifanya wana nguvu, kumbe hizo nguvu kila mtu anazo, tuwafunze kuzifungua na...
Back
Top Bottom