Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    Kama mwenyewe hajasema na kuonyesha nia, kitendo cha kumtaja, hujamtendea haki!, badala ya kumjengea ndio umemuharibia, kwasababu wana ccm wengine wenye nia, ndoto sifa na vigezo, wataogopa kujitokeza, kwa kumhofia yeye. Kuna wengi tunajua ni huyu, lakini hatumtaji ili kumlinda!, hii ya...
  2. Pascal Mayalla

    Makonda, Kumbe kuna Watu wanapanga Njama za Kuharibu na Kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake kwa Ndoto za 2030? Ni kina nani hao?

    Wanabodi, Leo nawaletea tena PMNA Kwa wasiojua PMNA, anzia hapa PMNA: Makamo wa Rais Dr Nchimbi, atamsaidia sana Rais Samia na Taifa, Ni Mkweli Anayeweza Kumweleza Rais Ukweli!. Ili Kumsaidia Aomba Rais Aombewe! Na PMNA: Pongezi Makamu wa Rais Bal. Dr Mchimbi Kuusema Ukweli Kuhusu Ujinga Huu...
  3. Pascal Mayalla

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Duh...!, japo namkubali sana bosi wangu huyu, kwasababu mimi ni sehemu wa tuliompendekeza huyu awe RC DSM, tumelitoa pendekezi hili leo usiku wa saa 2:00 Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Chuma kikaona hiyo post ya JF, ilinyanyuliwa simu moja tuu!, usiku huo...
  4. Pascal Mayalla

    Rungwe: 18 wafariki kwa maporomoko

    Duh...!, Sad!, hili ni janga la kitaifa!. Poleni sana wana Rungwe!. P
  5. Pascal Mayalla

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Kilichomfanya mtu akasirike sana, sisi baadhi yetu tunakijua, hivyo mtu akiwa hapendi kitu fulani, msikifanye!. P
  6. Pascal Mayalla

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Mtatuponza!. Please mode, do the needful!. P
  7. Pascal Mayalla

    Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Sii kweli!, JJMnyika kama KM wa Chadema alipaswa kusaini barua ya kuwateua, kwa vile wamewasilisha barua ya uteuzi iliyo sainiwa na mtu mwingine yeyote ambaye sio KM, kitu cha kwanza ni JJMnyika as KM wa Chadema, alipaswa kuripoti polisi kuwa ameona wabunge wa Chadema wakiapishwa huku yeye...
  8. Pascal Mayalla

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Hii ni kesi muhimu na hii ni issue muhimu sana!, kitu cha ajabu ni angalieni wangapi watachangia uzi huu! P
  9. Pascal Mayalla

    Kuna mambo 21 tu ya muungano lakini katiba inavunjwa waziwazi

    Muungano ni kama ndoa, haki ni za mke tuu, mum,e hahitaji haki yeye jukumu lake ni kuwajibika kuihudumia ndoa hiyo. P
  10. Pascal Mayalla

    Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Halima hana haja ya kuusema ukweli wowote utakaowaibisha watu mliowaheshimu sana!. Mimi nakuhakikishia hata JJ Mnyika anaujua ukweli ila hausemi!, angalia hapa nilimuuliza nini na alijibu nini! https://youtu.be/-M8HnYQgtAc?si=STE5W7DTrIuVjDJX Niliendelea kumbananisha JJMnyika, kwanini...
  11. Pascal Mayalla

    Halima Mdee tubu yaishe lakini eleza ukweli wote Covid 19

    Halima atubu, kwani kosa lake ni nini?, Wale 19 waliingizwa bungeni kwa barua bonafide genuine ya Chadema, iliyosainiwa na officer bearer, unamtaka Halima amtaje ili iweje wakati watu wote wenye jicho la tatu wanamjua! Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na...
  12. Pascal Mayalla

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Yes kuna vitu vingi tuu vilitokea Bible ikaviacha ili visilete contradictions,mfano the original sin,dhambi ya asili,sio tunda,ni tendo!,ili binadamu azaliwe,kuna dhambi fulani lazima itendeke,ndipo conception itokee,kuna binadamu mmoja tuu Bikira Maria,alikingiwa dhambi ya asili,akapata mimba...
  13. Pascal Mayalla

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Huu ndio msingi mkuu wa imani na hili halina ubishi,tena sio tuu Mungu ni mmoja,bali hata sheria yake pia ni moja,sheria ya Mussa,na Baba wa Waislamu na Wakristo ni mmoja,Nabii Ibrahim,产Waislamu ni uzao wa mwanaye wa kwanza, Ismail,Wakristo ni uzao wa mwanae wa pili,Ismail. Mungu ni...
  14. Pascal Mayalla

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Japo mimi ni Mkristo, lakini ni mtetezi mzuri wa Uislamu na Waislamu karibu mitaa hii Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!. Hata hapa Zanzibar Kama Dubai, Hazina Sovereignty, - No Capacity to International Treaty, Kama Tumeingia Mkataba...
  15. Pascal Mayalla

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Sio kila mtu ana Mungu wake, ukweli ni Mungu ni mmoja, sheria yake ni moja ile ile alivyokabidhiwa Nabii Mussa, ila kila mtu ana kitabu chake na tafsiri yake. P
Back
Top Bottom