Mkuu Genu, GenuineMan , kiukweli kabisa hii jf ya kisasa, tuna viazi vingi sana humu na vingine tena ni heri vingekuwa ni viazi vitamu, unaweza kuvitumia kwa kitafunio au futari, na Wanyamwezi wanategenezea matobolwa, lakini hivi viazi vya humu ni mbatata kabisa kwa wala chips na urojo!.
Urais...
Mkuu SaidAlly , hakuna shida yoyote kwa mtu kuwa kada wa chama chochote, humu jf tunapaswa kujadili hoja iliyopo mezani na sio kujadili watu , kama hoja ni ya kikada, hoja ndio ipigwe nyundo kwa kujadiliwa hoja kwa hoja na sio kumjadili mtoa hoja.
P
Unanitukana kwa kosa gani?.
Mimi ni mwandishi wa habari, ripota na mchambuzi,
Mimi kama mwandishi, kuandika ndio kazi yangu, haijalishi kama watu watasoma au hawatasamo, as long as ni kazi yangu, nitaendelea kuandika.
Mwandishi kama ripota kazi yake ni kuripoti tuu, haijalishi watu wamesoma...
Wanabodi,
Naomba anza kwanza kwa kumsikiliza VP Balozi Dr. Nchimbi
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
Kwa kauli kama hizi, kwa maoni yangu, kiukweli kabisa to be honest from the bottom of my heart, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana Taifa letu la Tanzania na...
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
I was very right kumhusu mtu huyu, kwa kauli kama hizi, huyu mtu, atamsaidia sana Rais Samia, atalisaidia sana taifa hili la Tanzania na atawasaidia sana Watanzania, 2030 Twende na Dr. Nchimbi?.
P
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.