Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
Namkubali sana Bulaya!, angalia tare ya bandiko hili Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu!
P
October 29, kuna makosa fulani tulifanya!, kwa vile tuliishafanya kosa, na kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa!, Naomba tusirudie kosa la October 29!.
P
Kamishna Mwenda, amejibu kuwa japo ni kweli, rais wa JMT na VC ni tax exempted, ila hiyo exemption iko kwenye salary only, lakini kwa vitu vingine vyote, na huduma nyingine zote, wote wanazilipia kodi, ila ni kweli pia tutaangalia the best practice elsewhere.
My Take.
Kama rais na VP hawalipi...
Sasa ni kipindi cha maswali ya waandishi.
Mimi swali langu ni kuhusu umuhimu wa kodi, baada ya uhai na utii wa katiba, jambo muhimu la tatu ni kodi, hii ni muhimu kuliko mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama!, kwanini baadhi ya viongozi hawalipi kodi?, wako exempted kulipa kodi?.
Nimeshauri...
Kamishna Mwenda ameizungumzia tuzo ya rais ya mlipakodi bora, ambapo rais wa JMT, atatoa tuzo kwa walipakodi bora kutoka nchi nzima za Tanzania na Zanzibar.
P
Mkuu Tita, TIETA , heshima kitu cha bure!, hunijui sikujui, tunakutana humu jf, mimi ni mwandishi wa habari, hapa ninaripoti live, ili wana jf to be the first to know!, kwenye nchi, ukiondoa uhai na katiba, jambo la tatu muhimu zaidi kwa taifa lolote ni kulipa kodi.
Issue ya kodi unaiita...
Jambo la latu ni kuwashukuru walipa kodi. Tanzania tuna watu zaidi milioni 60, wanaolipa kodi ni watu milioni 8 tuu, watu milioni 52 hawalipi kodi!. Kati ya hao watu milioni 52 ambao hawalipi kodi, watu milioni 22, ni wazee na watoto ambao wako exempted kulipa kodi, hivyo kuna watu milioni 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.