Kama mwenyewe hajasema na kuonyesha nia, kitendo cha kumtaja, hujamtendea haki!, badala ya kumjengea ndio umemuharibia, kwasababu wana ccm wengine wenye nia, ndoto sifa na vigezo, wataogopa kujitokeza, kwa kumhofia yeye.
Kuna wengi tunajua ni huyu, lakini hatumtaji ili kumlinda!, hii ya...