Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania TBC Live mubashara from Mlimani City:Maandimisho ya Miaka 30 ya TRA na Tuzo ya Kwanza ya Rais kwa Mlipaji Kodi Bora Tanzania.

    Poleni wote kwa msiba huu, ni msiba wa wote, ila kwa vile kila jambo lina wakati wake na mahala pake, huu ni uzi wa maadhimisho ya miaka 30 ya TRA, its not fair, kuleta mambo ya msiba kwenye uzi huu. Japo thamani ya uhai wa binadamu unalingana, binadamu wote ni sawa, lakini watu tofauti wana...
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania TBC Live mubashara from Mlimani City:Maandimisho ya Miaka 30 ya TRA na Tuzo ya Kwanza ya Rais kwa Mlipaji Kodi Bora Tanzania.

    Mkuu tamuuuuu, wengi wa members wetu humu, kwao jf ni passtime, wanaingia jf for leisure, wanasoma vitu wanavyopenda, na kuchangia mada wanazopenda, lakini kwa baadhi yetu mimi nikiwemo, jf ni eneo la kazi, kuripoti kila kitu ni wajibu wetu, hivyo hapa natimiza wajibu wangu, bila kujali, watu...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania TBC Live mubashara from Mlimani City:Maandimisho ya Miaka 30 ya TRA na Tuzo ya Kwanza ya Rais kwa Mlipaji Kodi Bora Tanzania.

    Wanabodi Karibuni kwenye hii Live mubashara from Mlimani City kupitia TBC, kushuhudia Maandimisho ya Miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA na halfa ya Tuzo ya kwanza ya Rais kwa mlipa kodi bora mchini Tanzania. https://www.youtube.com/live/ql9D3AfB3c4?si=-5NczAUlvmZoer2_ Karibuni...
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania TRA Yatimiza Miaka 30 ya Mafanikio!, Je Wajua Kutolipa Kodi ni Dhambi?. Mpeni Kaizari, Yaliyo ya Kaizari ni Kodi!. WaTZ Tulipe Kodi

    Wanabodi, Hii ni makala yangu gazeti la mwananchi la leo, Tarehe kama ya leo, Julai, 1, 1996, ndipo Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, ilianzishwa rasmi, hivyo leo, Tarehe 1, July, 2026, TRA, imetimiza umri wa miaka 30, toka kuanzishwa kwake, Happy Birthday TRA, Hongera kwa siku yako ya...
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda, nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    List hoteli nilizopiga misosi, ni pamoja na hotel Rwanda, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? , nilikutana na yale mambo ya dada zako, Anatomical Question on Squirting: Why Only Some and Why So Much Fluid? P
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu ajiuzulu kwa muda CHAUMMA kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya CHAUMMA Yawasilisha Waraka wa Kutokuwa na Imani na Salum Mwalimu

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya CHAUMMA yamkataa Salum Mwalim

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yamvua rasmi u-Katibu Mkuu Salum Mwalimu

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Bulaya: CCM itatoka Madarakani kwa Kura siyo Mapinduzi, Tanzania haiko tayari kurudia ya Oktoba 29

    Namkubali sana Bulaya!, angalia tare ya bandiko hili Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! P
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kama Nisingeandika Historia ya TANU na Uhuru wa Tanganyika Kurekebisha Historia Iliyokuwapo Leo Tungebakia na Historia Gani?

    Mkuu Inside10 , asante kuni tag, tunakisubiria hicho kipindi kwa hamu!. P
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kama Nisingeandika Historia ya TANU na Uhuru wa Tanganyika Kurekebisha Historia Iliyokuwapo Leo Tungebakia na Historia Gani?

    Mkuu Maalim Mohamed Said , kipindi kikirushwa please share the links. P
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kufanya Kosa si Kosa, kosa Kurudia Kosa!, Kama Kosa lina consequences, ukirudia, the consequences are the same!. Je Tujiandae for The Consequences au?

    October 29, kuna makosa fulani tulifanya!, kwa vile tuliishafanya kosa, na kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa!, Naomba tusirudie kosa la October 29!. P
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Kamishna Mwenda, amejibu kuwa japo ni kweli, rais wa JMT na VC ni tax exempted, ila hiyo exemption iko kwenye salary only, lakini kwa vitu vingine vyote, na huduma nyingine zote, wote wanazilipia kodi, ila ni kweli pia tutaangalia the best practice elsewhere. My Take. Kama rais na VP hawalipi...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanganyika Law Society isifutwe?

    TLS ni professional association, inahudumia wanachama wake ambao ni mawakili. P
Back
Top Bottom