Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Nilichomwambia Rais Samia kabla ya uchaguzi Wa Oktoba 2025: CCM ikikaa meza moja ya mazungumzo na CHADEMA, utakuwa ni ushindi kwa Watanzania wote

    Mkuu Una, Nina Akili Ndogo Sana, kwanza nikupongeze baada ya kuisoma intro yako, na kazi yako ya konda wa dala dala, hivyo nimekosoma kwa a very keen interest, na kikweli kwa hoja ulizoshusha konda wewe wa daladala, kiukweli nimeguswa sana na konda wewe, na nimetokea kukubali sana konda wewe...
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hadi sasa, Dkt Nchimbi viatu vya Urais 2030 vinamtosha

    Sio kwenda na wakati kwenye kila kitu, ushoga sio utamaduni wetu, sisi utamaduni wetu kwenye mapenzi ni ule wa dume la mbegu au jogoo, mitetea kibao!, wazungu walipokuja na kutuletea Ukristo, wakatundanganya kuwa tabia za wake wengi ni za kishenzi, tuoe mke mmoja tuu. Japo Wakristo wengi tuna...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hadi sasa, Dkt Nchimbi viatu vya Urais 2030 vinamtosha

    Mkuu MachoMdili, macho_mdiliko , kwanza naunga mkono hoja ya CCM kuchokwa!, Angalia mimi niliisema lini humu CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!, ila pia pia napenda watu wakweli, pamoja na CCM kuchokwa hivyo ilivyochokwa, lakini Watanzania, wanaendelea kuichagua CCM mwaka hadi mwaka kwasababu...
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hadi sasa, Dkt Nchimbi viatu vya Urais 2030 vinamtosha

    Hatuishi kwa utamaduni, tunakwenda na wakati, twende na wakati!, kama S100 alikuwa VP, akawa P, then VP ndie the next P!. P.
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...

    Asante Mkuu Proved kwa kunielewa, na mimi huwa nafarijika sana, hata akitokea mtu mmoja tuu akanielewa, it gives me more drive to keep doing!. Thanks kunielewa. P
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...

    Mkuu Aleni Kile, Allen Kilewella , karibu mitaa hii, ila nimekuelewa, kwanza naheshimu maoni yako, na kuheshimu maoni ya wote, ushauri wako, nitauzingatia! Asante. P
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mimi Pascal Mayalla Sipongezi Kutafuta Uteuzi Wowote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine Kumtia Moyo Kwa Mazuri ya Kweli!

    Mkuu Ambition plus , JF ni kubwa sana, hili bandiko wewe litakuwa limekupita!. Karibu. P
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Hadaa ya mihimili ya serikali

    Asante kurejea kihenga, Hili jambo tuliisha lijadili sana humu Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth! Hali hii ni. kufuatia tulipopata uhuru ile 1961, katiba ya uhuru ilitoka UK, Malkia ndie alikuwa the head of State, Waziri Mkuu...
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CCM hadi sasa, Dkt Nchimbi viatu vya Urais 2030 vinamtosha

    Msimtaje taje, mtamharibia ! Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo! P
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais kubali makosa yako haikuwa hivi kabla ya Oktoba 29, 2025. Usijidanganye

    Yeye ana kosa gani?, The Voices From Within:Kilichotokea Oct. 29 Japo Anayeonekana ni Yeye Kumbe Si Yeye Kuna Watu Hawakutimiza Wajibu Wao Ndio Wamemponza, Tumsamehe Tuu? P
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Usiyoyajua Kuhusu Samia UN: Kumbe alitaka kuhutubia Kiswahili! Baada ya Kiswahili kuwa Lugha ya Afrika, Rais Samia kukipaisha kuwa Lugha ya Dunia

    Rais Samia anastahili pongezi kukikuza lugha yetu adhimu ya Kiswahili, huu ni utekelezaji wa ushauri wangu huu, Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa? Tena alitakaga kuanza zamani, Usiyoyajua...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa?

    Rais Samia anastahili pongezi kukikuza lugha yetu adhimu ya Kiswahili, huu ni utekelezaji wa ushauri wangu huu, Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa? Tena alitakaga kuanza zamani, Usiyoyajua...
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Rais Samia anastahili pongezi kukikuza lugha yetu adhimu ya Kiswahili, huu ni utekelezaji wa ushauri wangu huu, Katika Kukuza Lugha Yetu Adhimu ya Kiswahili Kimataifa, Mnaonaje Rais Samia, Atumie Kiswahili, Kulihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa? Tena alitakaga kuanza zamani, Usiyoyajua...
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mimi Pascal Mayalla Sipongezi Kutafuta Uteuzi Wowote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine Kumtia Moyo Kwa Mazuri ya Kweli!

    Wakuu makaveli10 , ephen_ , Ubaya Ubwela , feyzal, Sozo_, Andromeda Galaxy na Mtili wandu JF ni kubwa sana, hili bandiko litakuwa limewapita!. Karibuni. P
Back
Top Bottom