Mkuu Lwiva , please stop this!, hata kama wewe hujipendi, sisi tunakupenda!, hii confidence ya pen name ya jf, won't be able to protect you, unless na wewe unataka kujitoa kama Jesus?, angalau kwa Jesus mwili tuliuona, akateswa, akafa, akazikwa ndipo akafufuka, lakini wewe...
Ni ushauri tuu!.
P