Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu ajiuzulu kwa muda CHAUMMA kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya CHAUMMA Yawasilisha Waraka wa Kutokuwa na Imani na Salum Mwalimu

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya CHAUMMA yamkataa Salum Mwalim

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania CHAUMMA yamvua rasmi u-Katibu Mkuu Salum Mwalimu

    Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni...
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Bulaya: CCM itatoka Madarakani kwa Kura siyo Mapinduzi, Tanzania haiko tayari kurudia ya Oktoba 29

    Namkubali sana Bulaya!, angalia tare ya bandiko hili Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! P
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kama Nisingeandika Historia ya TANU na Uhuru wa Tanganyika Kurekebisha Historia Iliyokuwapo Leo Tungebakia na Historia Gani?

    Mkuu Inside10 , asante kuni tag, tunakisubiria hicho kipindi kwa hamu!. P
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kama Nisingeandika Historia ya TANU na Uhuru wa Tanganyika Kurekebisha Historia Iliyokuwapo Leo Tungebakia na Historia Gani?

    Mkuu Maalim Mohamed Said , kipindi kikirushwa please share the links. P
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kufanya Kosa si Kosa, kosa Kurudia Kosa!, Kama Kosa lina consequences, ukirudia, the consequences are the same!. Je Tujiandae for The Consequences au?

    October 29, kuna makosa fulani tulifanya!, kwa vile tuliishafanya kosa, na kufanya kosa sii kosa, kosa ni kurudia kosa!, Naomba tusirudie kosa la October 29!. P
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Kamishna Mwenda, amejibu kuwa japo ni kweli, rais wa JMT na VC ni tax exempted, ila hiyo exemption iko kwenye salary only, lakini kwa vitu vingine vyote, na huduma nyingine zote, wote wanazilipia kodi, ila ni kweli pia tutaangalia the best practice elsewhere. My Take. Kama rais na VP hawalipi...
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanganyika Law Society isifutwe?

    TLS ni professional association, inahudumia wanachama wake ambao ni mawakili. P
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Sasa ni kipindi cha maswali ya waandishi. Mimi swali langu ni kuhusu umuhimu wa kodi, baada ya uhai na utii wa katiba, jambo muhimu la tatu ni kodi, hii ni muhimu kuliko mihimili ya Serikali, Bunge na Mahakama!, kwanini baadhi ya viongozi hawalipi kodi?, wako exempted kulipa kodi?. Nimeshauri...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Kamishna Mwenda ameizungumzia tuzo ya rais ya mlipakodi bora, ambapo rais wa JMT, atatoa tuzo kwa walipakodi bora kutoka nchi nzima za Tanzania na Zanzibar. P
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Kamishna Mwenda, amewapongeza watu wawili muhimu Dr. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT Dr. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Zanzoibar. P
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Mkuu Tita, TIETA , heshima kitu cha bure!, hunijui sikujui, tunakutana humu jf, mimi ni mwandishi wa habari, hapa ninaripoti live, ili wana jf to be the first to know!, kwenye nchi, ukiondoa uhai na katiba, jambo la tatu muhimu zaidi kwa taifa lolote ni kulipa kodi. Issue ya kodi unaiita...
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Four Points by Sheraton: Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda, Akizungumzia Tuzo ya Rais Kwa Mlipakodi Bora na Maadhimisho ya Miaka 30 ya TRA

    Jambo la latu ni kuwashukuru walipa kodi. Tanzania tuna watu zaidi milioni 60, wanaolipa kodi ni watu milioni 8 tuu, watu milioni 52 hawalipi kodi!. Kati ya hao watu milioni 52 ambao hawalipi kodi, watu milioni 22, ni wazee na watoto ambao wako exempted kulipa kodi, hivyo kuna watu milioni 30...
Back
Top Bottom