Recent content by Pascal Mayalla

  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mvuto wa Ajabu: Watu, Watoto na Wanyama. Mabaya yapo pia

    You are a very powerful being, you have the powers, cha kufanya ni kujifunza tuu jinsi ya ku channel, uanze kuvuta mabilioni yako!. https://www.jamiiforums.com/threads/psychic-powers-ni-nguvu-za-kufanya-miujiza-wengi-wanazo-bila-kujitambua-je-wewe-unazo.551300/...
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Mimi namuunga mkono kujivunia mama yake kutoa ile kitu yake kwa mzungu, yeye ndio akazaliwa, natamani wanawake wote watoe hiyo kitu yao mahali sahihi, kwa mtu sahihi atakaye toa mazao bora, sio unalipa jitu halieleweki, unajazwa unatelekezwa unaishia kutujazia machokoraa mitaani! uamuzi wa hiyo...
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Tena hapo hujaitaja Petra Diomond na NMG!. P
  4. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Tena hapo hujaitaja Petra Diomond na NMG!. P
  5. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Anayeingia shimoni ni atakayejaribu kuwazuia!, yule Blaza wangu alijaribu, sasa yuko wapi? hata yule mdogo wangu wa kuba, nilimshauri sana humu, yuko wapi?. Kuna watu ni antachabo, donti tachi zem donti mesi wisi zem!. P
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Mtu akiishakuwa ni bilogical parent wako, the relationship ni DNA, kusema huna uhusiano ni kujifurahisha!, unaweza ku mu ignore, ukamblock, ukafuta namba yake ya simu, but you cant erase the DNA unakwenda nayo 6ft under na siku unasindikizwa ni yeye ndiye anatajwa baadaya ya kufunikwa ukiwa wewe...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    BOT mtu hawezi kuiba pesa!. P
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Mkuu Lwiva , please stop this!, hata kama wewe hujipendi, sisi tunakupenda!, hii confidence ya pen name ya jf, won't be able to protect you, unless na wewe unataka kujitoa kama Jesus?, angalau kwa Jesus mwili tuliuona, akateswa, akafa, akazikwa ndipo akafufuka, lakini wewe... Ni ushauri tuu!. P
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Its the other way round!. P
  10. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    ikitokea ukatenguka, wewe jua ni umejitengukia tuu mwenyewe, na sio yeye!, kama unadhani ukitenguka kuna watu watajua waangalie wapi, naomba nikuhakikishie, ikitokea, hakuna mtu yoyote atakayejitokeza kuangalia popote, kwasababu kuna watu sio wa kutengua!. P
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Aminata B Ruhinda Ntare , kwa sisi tunaomfahamu RA aka The 'KM', si kweli kuwa ni yeye alimuandama mama yako mzazi, naomba niamini mimi, mama atakuwa aliandamwa na vidampa fulani tuu ili kumtisha tisha, but not RA!. No sio yeye, huyu sio mtu wa kujaribu, watu wa kujaribu ni wale wa kubahatisha...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Nimekwenda Ukonga leo nimeshindwa kumuona Lissu

    Hawa watu ni watu wa ajabu. sana!, hawakujui wewe ni nani, hivyo hawakulipeleka jina lako ndani, Utaratibu wa kuwaona high profile remandees, ni huu Ukifika pale unaandikisha jina na kusema unataka kumuona fulani, unasema wewe ni nani wake Jina linapelekwa ndani kwenye list ya watu...
  13. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kishindo cha VETA kwenye 77 na 88, Kubwa Kuliko ni Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Tanga, VETA Yaitafsiri Dira ya Taifa kwa Vitendo!

    Kwa faida ya ambao hawakubahatika kujua VETA ilifanya makubwa gani Nane Nane katibuni hapa. https://youtu.be/jphNiq0GOxM?si=hNTb503qi3QcooOk https://youtu.be/gNwVC-K8ypc?si=9-5o-xAxoWfJxnOk https://youtu.be/cFnIPHYnsww?si=XqeO8JJ3rNzPb18j P
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kishindo cha VETA kwenye 77 na 88, Kubwa Kuliko ni Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Tanga, VETA Yaitafsiri Dira ya Taifa kwa Vitendo!

    Kwa faida ya ambao hawakubahatika kujua VETA ilifanya makubwa gani Saba Saba, katibuni hapa. https://youtu.be/AiL-8cCAXlA?si=lD4oR7uJXxppCJBl https://youtu.be/RAjjrzaT4Aw?si=ZkLHLtOj1e6yAk4N P
  15. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Mwenge: Ni Mwanga Tu Au Kuna Uvumba Fulani Unafukizwa Ili Kupumbaza Watanzania? Is it Justified?.

    Ni kweli shirki ni ibada za kishetani, ila shetani mwanzo alikuwa malaika, kuna baadhi wanaotumia ibada za kishetani kupata mafanikio, ila pia kuna wengi wanamwabudu shetani, wakidhani ni Mungu...
Back
Top Bottom