Asante kurejea kihenga,
Hili jambo tuliisha lijadili sana humu Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth!
Hali hii ni. kufuatia tulipopata uhuru ile 1961, katiba ya uhuru ilitoka UK, Malkia ndie alikuwa the head of State, Waziri Mkuu...