Sina uhakika ila kuna web moja nimelipia yenyewe in official registration na hosting ila hi nataka iwe free Kwanza. Iliyo active n www.goldensitetz.com
Naomba kuuliza je page ya kusaini ya kuapeal inatakiwa kusainiwa na muhusika bila ushibitisho wa mamlaka flani ka mahakama, mwenyekiti au mtendaji.
Msaada tafadhali
Kwenye step ya kijaza demographics informations . Ukisha jaza taarifa hzo, nida na verification code ya rita ukibofya kitufe cha submit inazunguka mda wote bila kusubmit data
Naombasaada katika kijaza demographics information katika olams. Nikijaza inakuwa inazunguka tu nikisubmit, je nini changamoto pale maaana watu wa mkopo hawapokei simu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.