Recent content by part e

  1. P

    Kwanini maisha ni Ubatili?

    Hatari Sana ndugu😁..wanadai Kuna peponi ambako hakuna dhiki Wala njaa,na ili ufike Kuna sheria tena wamekupangia na kukuwekea usimamizi wa sheikh & padri.ushenzi mtupu😓
  2. P

    Siri ya Kuwa na Amani na Furaha ni Kujifunza Kutojali Baadhi ya Mambo

    IMANI ni kitu Cha thamani,Ila iendane kwa vitendo thabiti na kitu unacho thamini.
  3. P

    Wanaotesa mpaka kuua, huwa wanavuta bangi kwanza au wanaua kavukavu bila kupata chochote cha kuwaondolea ubinadamu na eneo huwa ni sound proof?

    Ki binadamu sio vizuri.Inaumiza,ila ni mengi pia hatuyajui sababu tupo nje ya ulingo..POLE SANA KWA NDUGU WA MAREHEMU.
Back
Top Bottom