Kwavle ilikuwa siri yao na rafki yako hakiwah kukuambia kwmba wanamahusiano na hyo mpenzio mtarajiwa thn usiwaze kuhusu rafk yako anayeolewa kama unampnda mshikaj ondoa shaka na anza mahusiano mambo ya ndoa ni ya baadae. Upendo kwanza
Ahh mm najua wangu hana makalio ya namna hyo. Na kama na kama himidin alivyochangia, kila shetan na mbuyu wake. Mm napenda kutoka moyon cpend mtu kwa muonekano. Then sina pa kuyatumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.