Recent content by parangu

  1. P

    Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

    Mavi ya kale hayanuki atanipa tu japo kidogo
  2. P

    Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

    Kaka mtu ni mmi kwahyo dogo akioa nami nakula taratiiibuuuuuuu
  3. P

    Hii imekaaje wakuu?

    Kwavle ilikuwa siri yao na rafki yako hakiwah kukuambia kwmba wanamahusiano na hyo mpenzio mtarajiwa thn usiwaze kuhusu rafk yako anayeolewa kama unampnda mshikaj ondoa shaka na anza mahusiano mambo ya ndoa ni ya baadae. Upendo kwanza
  4. P

    Makalio makubwa ya wadada.

    Ahh mm najua wangu hana makalio ya namna hyo. Na kama na kama himidin alivyochangia, kila shetan na mbuyu wake. Mm napenda kutoka moyon cpend mtu kwa muonekano. Then sina pa kuyatumia
  5. P

    Makalio makubwa ya wadada.

    Ni chanzo cha wanaume wengi kupenda wanawake wenye makalio makubwa? Je wanaume hao wanayatumia makalio hayo? Au hapa na pale ni palepale?
  6. P

    Mdada kufanya tendo la ndoa siku moja kabla ya ndoa yake!

    Ndoa ni taasis inayowafaa wavumilivu na wanyenyekevu wa kweli.
  7. P

    Nitafanyaje nipate mpenzi wa kweli atakayenitosheleza kimahaba bila kuchoka nami?

    Nadhani ni vzr kama huna tatzo kifkra na kimaumbile
Back
Top Bottom