Recent content by pappi_santana

  1. pappi_santana

    Nishauri series gani niangalie

    vikings na peaky blinders
  2. pappi_santana

    Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    demu anaijua slavia prague,sporting cp na maccabi tel aviv na haifa 😂😂😂
  3. pappi_santana

    Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    raha ya mwanamke bhana ajue jue vitu bhana mpate hata cha kubishana kuna mwana ana demu anaijua hadi team ya maccabi tel aviv alafu wanapeana tips😂
  4. pappi_santana

    Je, The game of Thrones inafichua ukweli kuhusu flat Earth na Mambo yaliyofichwa?

    hapa natia mkono na mimi angalia movie inaitwa midnight butcher train(2011)wanaonesha viumbe wanaoitwa reptiles ambao hadi gvt ya USA inawafadhili kwa kuwapa vyakula kwa nyama za watu na hii inasemekana ni secret society kwahiyo movie zina reflect kitu hasahasa ulipoongelea ujio wa viumbe...
  5. pappi_santana

    Nakukumbusha tena, "acha kubeti" mwisho wa betting sio mzuri

    nishawahi ona mtu kasema hivi akajibiwa kuna shamba la buku??
  6. pappi_santana

    Je, the Simpsons wanatabiri matukio yajayo?

    dunia hii tunaishi ila tunaongozwa na secret societies!!! Illuminati Reptiles Na nyingine kbao kwahiyo codes zinapangwa tuh kwa kila tukio mkuu hapa umejibu kikubwa sana🙏
  7. pappi_santana

    Simulizi: Mimi na Mimi

    R.i.p madam bertha🥹🥹🕊
  8. pappi_santana

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Hii ndo maana halisi ya Mimi na Mimi😂
  9. pappi_santana

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Mawazo yake tuh 😂😂😂😂
  10. pappi_santana

    Simulizi: Mimi na Mimi

    😂😂mwandishi ni tonny bhana
  11. pappi_santana

    Simulizi: Mimi na Mimi

    Kvp cjakuelewa mkuu
  12. pappi_santana

    Simulizi: Mimi na Mimi

    yoyote aliyeandika hii simulizi anahitaji pongezi✌️✌️Big up tonny
  13. pappi_santana

    Mwijaku kayatimba, Diamond Platnumz amjibu ataka mdahalo kuonesha utajiri iwe funzo

    Hii reply naona ingesettle debate nzima🔐respect
Back
Top Bottom