Tumia nafasi ya kuishi kwako leo kufanya mambo makubwa yatakayoacha alama duniani. Acha tabia ya kughairisha mambo inayokuzuia kuonesha uwezo mkubwa (potentials) ambazo Mungu amewekeza ndani yako.
~
Amka mahali ulipo sahau kuhusu jana yako na pale uliposhindwa; inuka upya na Amini Mungu anaenda...
Hakikisha kila majira ambayo Mungu amekupa kuishi hapa duniani unajifunza kuunganisha FIKRA ZAKO na MUDA ULIONAO.
~
Ukishindwa kuunganisha fikra na majira unayoishi ni rahisi sana kuishi maisha yaliyo nje na kile Mungu alichopanga ukifanye hapa duniani kwenye majira husika.
~
Ni rahisi kufikiri...
Vitu 5 vya kufanya unapojisikia kukata Tamaa.
1st: Be around the positive minded friends/Kuwa karbu na marafiki wenye fikra Chanya. Utapata Faraja na motisha ya kusonga mbele, watakutia moyo na kukushauri nini Cha kufanya.
2nd: Share your Goal/Jarbu kushikirisha lengo lako kwa watu wa karbu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.