Recent content by papax

  1. P

    Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

    Mtasema sana mwaka huu, Mama yupo yupo sana huyu....mpaka 2030! CCM HOYEEEE! nani kama mama?
  2. P

    Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

    If you think you have better ideas bring them forward, stop writing nonsense, stupid!
  3. P

    TEC: Mhashamu Baba Askofu Wolfgang Pisa, Rais Mpya TEC. Rais Samia atuma salamu za pongezi

    Hujui unachokiongea wewe! kwa taarifa yako kanisa katoliki halijawahi kuwa na tofauti 'kubwa' na SERIKALI ama CCM tangia tupate uhuru, ukisikia 'tofauti' basi ni za kawaida tu, na huwa zinamalizwa fasta! kwa hivyo ukisikia pongezi elewa MAMA anajuwa anachikifanya ' The two are true partners'...
  4. P

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Kaka umejaribu kufafanua vzr. ila kwakusaidia tu ni kwamba, suala la 21% ni la kisheria tu ila utekelezaji wake haujawahi kufanyika kwa kiwango hicho! nenda kwenye taasisi zote za muungano utaniambia, Mchengerwa alitaka kututania lkn. akashindwa! jamani muwe na amani, hata kama Rais ni...
  5. P

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Kaka leo umenifungua macho! kumbe ndio maana 'wadau' wakaamua katika utawala huu wa MAMA, tujitahidi kuwapa taugh WAZENJ angalau na wao wasogee ili twende kwa umoja wetu! Hatuwezi kuwa na watu ndani ya nchi yetu wenye hali mbaya kama unayoisema, halafu tukabaki salama!
  6. P

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Mij Mijadala mingi humu inaharibiwa na wapuuzi, hivi kwa mfano suala la swala tano linahusianaje hapa? mimi nadhani suala la kipato cha nchi au mtu binafsi hakihusiani na imani. ndio maana unawezakuta kuna 'swala tano' ana elimu na maendeleo kuliko hata mliberali, tujikite kwenye mada...
  7. P

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Kila siku nunajadili masuala haya lkn hatupati suluhusho kwasababu baadhi ya wachangiaji hawaelewi hata kinachobishaniwa, Kwanza mnatakiwa muelewe kuwa chanzo kikuu cha hayo yanayoitwa 'mapato ya muungano' yanayobishaniwa ni misaada kutoka nje, sio mapato ya korosho, pamba, utalii, bandari n.k...
  8. P

    Kwanini wafanyakazi wa Zanzibar wawekewe nauli za usafiri kwenda kazini na kurudi wa Tanzania bara wasipewe?

    Si muende mkafanye kazi huko, kwanini mnatupigia kelele, tuna mambo mengi ya kushuhulikia ikiwa ni pamoja na kupambana na athari za mafuriko.
  9. P

    Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Nchi ipo salama, endeleeni kupayuka tu !
  10. P

    Kama nchi mbili ziliungana zikazaa Tanzania kwanini Zanzibar iwepo ila Tanganyika ife?

    Mimi bado najiuliza hawa wazanzibari wana siri gani! Yaani wakianzisha jambo lolote hata la kijinga lipate 'publicity' kubwa sana huku kwetu! mfano mbunge mmoja wa ACT- WAZALENDO 'asiyejielewa' ametoa maoni yake, bunge lote limezizima, mimi nadhani na wao walitakiwa kumjibu pale pale, badala...
  11. P

    Chato: Msanii wa nyimbo za asili aliyemtumkana Rais Samia ahukumiwa miaka 6 jela

    Sababu ametusiwa usiempenda ila, Tanzania hii hatujafikia utamaduni wala demokrasia ya kuwatukana viongozi wetu namna hii, Na kama Tanzania ingekuwa namna hii tangia zamani, msingeikuta hivi ilivyo! Nadhani wakati umefika sasa wa kubadilisha sheria zetu ili watu wakitiwa hatiani kwa makosa ya...
  12. P

    Balozi Saidi Othman Yakub ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Comoro

    Ndiyo Tz yetu hiyo! Kuna zamu ya wale wa ijumaa, jumamosi na jumapili, Jambo la msingi ni kuvumiliana tu, ili ikifika zamu ya mwengine msianze kulalamika!
  13. P

    Je, utamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi kwa mambo gani?

    Hivi sakata la OIC ilikuwa wakati wa Mwinyi? sio wakati wa Dr. Salmin Amour na Mkapa miaka ya 95 Mwalimu akiwa hai? mbona unachanganya madawa?
  14. P

    Zanzibar Business and Property Registration Agency( BPRA) nahitaji majibu kutoka kwenu

    Nadhani ungeangalia sheria inayosimamia hiyo BPRA. Kwa vile si chombo cha muungano, inawezekana kuwa ime'define mfano " For the purpose of this law, Tanzanian means....or Zanzibari means... Huwa wanasemaga hivyo wanasheria na maana yake ni Kwamba kwa 'sheria hiyo tu' Mimi mwenyewe ilikuwa...
Back
Top Bottom