Recent content by papatunde jr

  1. papatunde jr

    NAHITAJI GUITAR BAJETI YANGU 80K

    A.aleykum Nahitaji accoustic guiter la kununua kwa mtu,offer yangu ni elfu 80
  2. papatunde jr

    Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?

    Jiwe gizani mkuu....! Naona damu inachuruzika
  3. papatunde jr

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    hofu yako inasababishwa na negative imagination ya jibu utakalopewa na huyo ambaye unamwambia ya moyoni mwako mahusiano ni kama kamari kuna kupata na kukosa be responsible kwa maneno yako utakayomwambia usiwaze kuhusu mapokeo yake or jibu lake thats her choice not yours you must respect that
  4. papatunde jr

    Rais Magufuli anangoja nini kumtumbua RC Makonda?

    Unajua siasa ni Mchezo mchafu sana ,najiuliza sana 1.kwanini DC mwanzoni kabisa wakati anachaguliwa hili sakata halikusikika,wakati mkuu alisema alikaa,akafikiri akapitia vyeti halafu akafanya machaguzi ya viongozi mbalimbali? 2.kwanini lijulikane mda huu baada ya vita ya madawa kuanza wakati...
  5. papatunde jr

    Vunja Bei SmartPhones: achana na bei za zamani sasa Bei imepoa:

    Wakuu kama kuna mwenye samsung S4 mini/S5 mini aje PM tuyajenge
  6. papatunde jr

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Wakuu kama kuna mwenye samsung s4 mini auSamsung S5 mini aje PM tuyajenge
  7. papatunde jr

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Wakuu natafuta note2 au samsng j5 kwa exchange ya tecno c8+top up
  8. papatunde jr

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    wakuu kwa atakayeenda chuoni kesho au aliye hostel anisaidie kuchek bhac hatma yangu jina FREDRICK KABALEGA course COMPUTER SCIENCE maana nipo mbali sana na registration nimeshakamiliaha
  9. papatunde jr

    Wauza smartphone tukutane hapa

    wakuu a.aleykum mteja anatafuta tecno c5 inyooke kama fimbo ya mussa ofa 150k mwisho jumanne mchana,yupo dar temeke up vzr txt in 0783041211
  10. papatunde jr

    Computer science ni sahihi kweli?

    Naomba unielezee kidogo mkuu,samahani sana
  11. papatunde jr

    Computer science ni sahihi kweli?

    Ninaipenda computer science,na naamini nikiisoma nitakuwa happy,confortable and comptent,nashukuru sana mkuu
  12. papatunde jr

    Computer science ni sahihi kweli?

    Ananilenga mimi huyo mkuu,kuwa na amani
  13. papatunde jr

    Computer science ni sahihi kweli?

    Kweli kabisa mkuu ndio maana namuomba mungu anifanyie wepesi maana meng nitaanza kutana nayo na mengine yanaweza nivunja moyo kabisa
  14. papatunde jr

    Computer science ni sahihi kweli?

    Ahsante sana kwa ushauri mkuu,nivyema nisome kitu nitakachokiweza,kuliko kulazimisha na mwisho wa siku nije kudisco na kuanza kujilaumu nafsini mwangu
Back
Top Bottom