Recent content by Papaa Mobimba

  1. Papaa Mobimba

    Unaridhishwa na taarifa ya mapato na matumizi ya fedha Serikali ya Mtaani kwako?

    Serikali za mitaa zina wajibu wa kuandaa bajeti, kutunza fedha na kutoa taarifa wazi katika vikao pamoja na kubandika kwenye mbao za matangazo kuhusu mapato na matumizi ya fedha kila mwaka wa fedha unapoisha. Lakini je, wananchi wanashiriki kikamilifu katika kusimamia uwazi huu? Je, umewahi...
  2. Papaa Mobimba

    KERO KERO Sugu ya Maji Mwanza (Nyegezi)

    Sasa Mwanza mnapaje kero wakati ziwa mnalo? Hii ni hujuma kubwa.
  3. Papaa Mobimba

    Cuba: Waziri wa kazi ajiuzulu baada ya kusema hakuna ombaomba nchi hiyo. Kuna watu wanajifanya ombaomba ili kupata pesa kirahisi

    Waziri wa Kazi wa Cuba, Marta Elena Feitó Cabrera, amejiuzulu baada ya kudai kuwa hakuna ombaomba nchini humo, akisema wanaochakura takataka hufanya hivyo kwa hiari ili kupata “pesa rahisi”. Kauli hiyo, aliyoitoa kwenye kikao cha Bunge la Kitaifa, ilizua hasira kubwa miongoni mwa Wacuba ndani...
  4. Papaa Mobimba

    GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Balozi Polepole ajiuzulu Ubalozi --- YAH: TAARIFA YA KUJIUZULU NAFASI YA UBALOZI NA NAFASI YA UONGOZI WANGU WA UMMA ________________ Mheshimiwa Rais, Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na Mkuu wa Kituo...
  5. Papaa Mobimba

    Askofu Bagonza: Wafalme na Watawala wabaya ili wafanye watakavyo, huanza kwa kuchafua hekalu

    Askofu Bagonza akihubiri katika Ibada ya kuweka Wakfu Vifaa na Alama za Kanisa zitakazotumiwa na Askofu Mteule wa Dayosisi ya Mwanga, amesema. Wafalme wabaya na watawala wabaya ili wafanikiwe, huwa wanaanza kuchafua hekalu. Hekalu likishashachafuka na kudhoofika, unabii hukoma, na wafalme...
  6. Papaa Mobimba

    Waumini Kanisa la Gwajima wafungua kesi ya Kikatiba kudai Uhuru wa Kuabudu

    Waumini 52 wa Kanisa la Ufufuo na Uzima wamefungua kesi ya Kikatiba wakidai kukiukwa kwa haki yao ya msingi ya kuabudu kama inavyolindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Waumini hao wanalalamikia kile wanachokiita ni vikwazo visivyo halali dhidi ya ibada zao na shughuli za kidini...
  7. Papaa Mobimba

    Kesi ya Gwajima yaahirishwa mpaka Julai 14, 2025

    Shauri lilofunguliwa na Bodi ya Wadhamini la kanisa la Glory of Christ Tanzania Church maarufu kwa jina la kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima limeahirishwa kusikilizwa leo Julai 11, 2025 mpaka tena Julai 14, 2025. Bodi ya Wadhamini inaiomba Mahakama kutupilia...
  8. Papaa Mobimba

    Oxfam: Mabilionea Wanne Tajiri Zaidi Barani Afrika Wanamiliki Zaidi ya Nusu ya Utajiri wa Waafrika Milioni 750

    Watu wanne matajiri zaidi barani Afrika wanamiliki utajiri wa dola bilioni 57.4 (sawa na euro bilioni 48.9), kiasi ambacho kinawafanya kuwa na utajiri zaidi kuliko nusu ya wakazi wote wa Afrika wapatao milioni 750, kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa Alhamisi na shirika la kupambana na umasikini...
  9. Papaa Mobimba

    KWELI Mkojo wa Sungura unaweza kutumika kama mbolea na dawa ya kuulia wadudu kwenye mazao

    Mkojo wa sungura unaweza kutumika kama mbolea ya maji, na pia una harufu kali na kemikali ambapo unaweza kutumika kama dawa ya kuua au kufukuza wadudu kwenye mimea. Binafsi nachukia sana harufu ya mkojo wa sungura, usiposafisha vizuri eneo lao harufu ile inakuwa kero sana.
  10. Papaa Mobimba

    Unawashauri nini wanafunzi ambao hawakufanya vizuri matokeo kidato cha sita 2025?

    Baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) kutangaza matokeo ya kidato cha sita 2025, wanafunzi wamepokea taarifa hizo kwa hisia tofauti. Wapo waliopata matokeo mazuri, yakawapa nafasi ya kujiunga na vyuo vikuu, jambo ambalo limeleta furaha na matumaini mapya katika maisha yao ya kielimu...
  11. Papaa Mobimba

    Askofu Bagonza: Hakuna mamlaka inayogombana na dini na kuishinda

    Askofu Bagonza amesema kuwa kuna mambo mawili magumu siku kugombana nayo siku hizi, kama uwezo wa kuepuka ugomvi wa hayo mambo mawili, yaepuke kwani huwezi kuyashinda Amesema ugomvi wa kwanza ni kugombana na Gen Z, sisi tuna bahati gen z wetu washamba washamba bado wamelala, ila haina maana...
  12. Papaa Mobimba

    KERO Bukombe: Dampo eneo la makazi ya watu mtaa Ntengere, Kata ya Igulwa Ushirombo ni hatarishi, mamlaka ziingilie kati

    Poleni sana, sasa hivi madampo yamekuwa machache sana, pia ongezeko la watu na taka ni tishio kwa sasa.
  13. Papaa Mobimba

    PreGE2025 John Heche: CHADEMA ni chama pekee kinachoweza kujaza watu mikutanoni bila kuwasomba kwa malori na kuweka kivutio cha helkopta

    “Hakuna chama chochote nchi hii ikiwamo na CCM kinaweza kuanzisha mkutano ‘Organic’ bila kusomba watu kwenye magari na wakaenda wenyewe kwenye mkutano ni CHADEMA tu” “Watu wengine watatafuta vivutio kama helkopta ndio ili wajae kwenye mkutano, lakini chama ambacho kwa sasa kinaweza kutangaza...
  14. Papaa Mobimba

    Serikali: Watanzania waliopo Israel na Iran kurejeshwa nchini

    HALI YA WATANZANIA NCHINI ISRAEL NA IRAN KUFUATIA MASHAMBULIZI BAINA YA TAIFA LA ISRAEL NA JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN DODOMA, 19 JUNI 2025 Kufuatia mashambulizi yanayoendelea kati ya Taifa la Israel na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyoanza tarehe 13 Juni 2025, hali ya usalama katika mataifa...
  15. Papaa Mobimba

    Juni 19 ni Siku ya Selimundu (Sickle Cell) Duniani, ni dhana gani umewahi kusikia kuhusu ugonjwa huu ili tukusaidie kufahamu Uhalisia wake?

    Dhana ambazo nilisikia kubwa ni mbili tu 1. Ukiwa na Selimundu, huwezi kuwa na maisha marefu utafariki kabla ya umri wa mtu mzima 2. Ukiwa na Selimundu, huwezi kupata watoto.
Back
Top Bottom