Serikali za mitaa zina wajibu wa kuandaa bajeti, kutunza fedha na kutoa taarifa wazi katika vikao pamoja na kubandika kwenye mbao za matangazo kuhusu mapato na matumizi ya fedha kila mwaka wa fedha unapoisha.
Lakini je, wananchi wanashiriki kikamilifu katika kusimamia uwazi huu?
Je, umewahi...
Waziri wa Kazi wa Cuba, Marta Elena Feitó Cabrera, amejiuzulu baada ya kudai kuwa hakuna ombaomba nchini humo, akisema wanaochakura takataka hufanya hivyo kwa hiari ili kupata “pesa rahisi”.
Kauli hiyo, aliyoitoa kwenye kikao cha Bunge la Kitaifa, ilizua hasira kubwa miongoni mwa Wacuba ndani...
Balozi Polepole ajiuzulu Ubalozi
---
YAH: TAARIFA YA KUJIUZULU NAFASI YA UBALOZI NA NAFASI YA
UONGOZI WANGU WA UMMA
________________
Mheshimiwa Rais,
Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kukutaarifu kuwa nimefikia uamuzi wa kujiuzulu nafasi yangu ya Uongozi wa Umma nikiwa Balozi na Mkuu wa Kituo...
Askofu Bagonza akihubiri katika Ibada ya kuweka Wakfu Vifaa na Alama za Kanisa zitakazotumiwa na Askofu Mteule wa Dayosisi ya Mwanga, amesema.
Wafalme wabaya na watawala wabaya ili wafanikiwe, huwa wanaanza kuchafua hekalu. Hekalu likishashachafuka na kudhoofika, unabii hukoma, na wafalme...
Waumini 52 wa Kanisa la Ufufuo na Uzima wamefungua kesi ya Kikatiba wakidai kukiukwa kwa haki yao ya msingi ya kuabudu kama inavyolindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Waumini hao wanalalamikia kile wanachokiita ni vikwazo visivyo halali dhidi ya ibada zao na shughuli za kidini...
Shauri lilofunguliwa na Bodi ya Wadhamini la kanisa la Glory of Christ Tanzania Church maarufu kwa jina la kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima limeahirishwa kusikilizwa leo Julai 11, 2025 mpaka tena Julai 14, 2025.
Bodi ya Wadhamini inaiomba Mahakama kutupilia...
Watu wanne matajiri zaidi barani Afrika wanamiliki utajiri wa dola bilioni 57.4 (sawa na euro bilioni 48.9), kiasi ambacho kinawafanya kuwa na utajiri zaidi kuliko nusu ya wakazi wote wa Afrika wapatao milioni 750, kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa Alhamisi na shirika la kupambana na umasikini...
Mkojo wa sungura unaweza kutumika kama mbolea ya maji, na pia una harufu kali na kemikali ambapo unaweza kutumika kama dawa ya kuua au kufukuza wadudu kwenye mimea.
Binafsi nachukia sana harufu ya mkojo wa sungura, usiposafisha vizuri eneo lao harufu ile inakuwa kero sana.
Baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) kutangaza matokeo ya kidato cha sita 2025, wanafunzi wamepokea taarifa hizo kwa hisia tofauti. Wapo waliopata matokeo mazuri, yakawapa nafasi ya kujiunga na vyuo vikuu, jambo ambalo limeleta furaha na matumaini mapya katika maisha yao ya kielimu...
Askofu Bagonza amesema kuwa kuna mambo mawili magumu siku kugombana nayo siku hizi, kama uwezo wa kuepuka ugomvi wa hayo mambo mawili, yaepuke kwani huwezi kuyashinda
Amesema ugomvi wa kwanza ni kugombana na Gen Z, sisi tuna bahati gen z wetu washamba washamba bado wamelala, ila haina maana...
“Hakuna chama chochote nchi hii ikiwamo na CCM kinaweza kuanzisha mkutano ‘Organic’ bila kusomba watu kwenye magari na wakaenda wenyewe kwenye mkutano ni CHADEMA tu”
“Watu wengine watatafuta vivutio kama helkopta ndio ili wajae kwenye mkutano, lakini chama ambacho kwa sasa kinaweza kutangaza...
HALI YA WATANZANIA NCHINI ISRAEL NA IRAN KUFUATIA MASHAMBULIZI BAINA YA TAIFA LA ISRAEL NA JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN
DODOMA, 19 JUNI 2025
Kufuatia mashambulizi yanayoendelea kati ya Taifa la Israel na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yaliyoanza tarehe 13 Juni 2025, hali ya usalama katika mataifa...
Dhana ambazo nilisikia kubwa ni mbili tu
1. Ukiwa na Selimundu, huwezi kuwa na maisha marefu utafariki kabla ya umri wa mtu mzima
2. Ukiwa na Selimundu, huwezi kupata watoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.