ACT bado wachanga sana, wanafanya siasa kitoto sana! Et wanaanda propaganda ambazo ccm wamezitumia wakashndwa. Wasipo kuwa makini na zzk watapoteza muda wao 2 maana wanafanya kazi ya zzk msaliti pasipo kujua.
Mwaka huu tupige sana viroba mpaka kieleweke, hivihivi waliojimiliksha hii mpaka waelewe somo ikiwezekana na gongo pia wajue vijana tumechoka na maneno yao ya kinafki hawa wezi.
Diwani kata ya Kimara B jimbo la Ubungo mhe. Pasco Manota apigwa na kuwekwa ndani na polisi, kisa kuhoji polisi walio wanachukua pesa toka kwa wananchi kuwa wanachua pesa kwa ajili ya nini, muda huu makamanda wa CHADEMA wanaelekea polisi kujua tatizo nini. Source katibu mwenezi jimbo la Ubungo...
Ukimwangalia usoni na maneno yake unaweza sema ni mzalendo wa kweli, kumbe jamaa yeye ni mpiga madili tu. Jamaa alikua anaibua kashfa kubwa kubwa bungeni alafu baadae wanamtuliza na mabilioni ya fedha. 1. Wote tunakumbuka jamaa alivolishikilia swala wa watanzania walioficha mabilion uswisi...
umenena mkubwa, hlo nmelifklia jana nlpo sikia jamaa wa cdm alipo sema wengina wanajiunga na ACT kwa kazi maalum afu ni wengi kuliko wanachama wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.