Recent content by PANYA LODI

  1. PANYA LODI

    Hello wapendwa nipokeeni

    Kwaiyo uko mtaan kwako umekosa mademu wazuri mpaka uje uku...?
  2. PANYA LODI

    Miaka yote 15+ mke wangu hajui kama ninamiliki silaha!

    Hapana kuna kaushauri nataka nimpatie...
  3. PANYA LODI

    Miaka yote 15+ mke wangu hajui kama ninamiliki silaha!

    Samahani mkulungwa naweza ingia dm yako kidogo tuyajenge....
  4. PANYA LODI

    Najuta nikikumbuka nilivyokataa kuzima kamera ili wezi waibe mgodi wa Mzungu

    Kwaiyo mjomba Hydoxo unataka kuniambia ihiii ni kamba kama kamba zingine....!!!
  5. PANYA LODI

    Watu wengi hawapendi kusalimiwa shikamoo, hata Kama anakuzidi umri

    Mim nikiwa na jambo langu iyoo “SHIKOMOO” yake naichukua na mbunye nitaomba kama kawaida....
  6. PANYA LODI

    Sijui alipatwa na nini kilichopelekea kujiua!

    Natanguliza pole zangu kwa wafiwa wote... POLENI KWA KWA KUFIKWA NA MSIBA... kupanga ni kuchagua au kuchagua ni kupanga WAKULUNGWA ngoja niwaibie siri, hasa kwa sisi vijan wa leo.... tusikimbilie mambo ambayo tutayakuta mbeleni....
  7. PANYA LODI

    Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Iviii wewe mtoa mada akili yako fyatuuuu,,,, Kusoma hujui hata picha uoni.... Inamaana uko uliko uko hao walemavu wako wa aina moja tu.... kwa nilivyo kategemea nilitegemea kuwaona walemavu wa aina tofauti tofauti mfano mlemavu wa akili,Macho,mikoni,miguu nk..... Sasa hapo wewe ukiangalia kwa...
  8. PANYA LODI

    Hizi alarm za mita za LUKU kukaribia kuisha huenda zinaongezea msongo wa mawazo

    Uku mtaani kwetu kuna jirani yangu mmoja ivii... yeye kila siku anakuja na kibatani chake kuomba kungiza luku yaana mpaka kelo.... Yaan ukiamka asubuh unae, mchana unae, jioni unae mpaka saa6 usiku.... Yaaan najiulizaga uyu mzee kafunga mashine ya kusaga ndan mwake nin,,,!!! kwa siku anaweza...
  9. PANYA LODI

    Mwalimu wa Shule ya Msingi Mbagala Kuu apandishwa kizimbani kwa kumbaka mwanafunzi wa Darasa la Sita

    NYEGE...!!! ogopa sana na usiombe zikukute ovyo ovyo unaweza baka ata KUKU...
  10. PANYA LODI

    Padri ashangaa kwanini tumejazana kanisani? Asema Italy wameacha kabisa mambo ya dini

    Swali dogo tu,,,, mngemuuliza na yeye kaja kufanya/kutafuta nini hapo kanisani...
  11. PANYA LODI

    Wafariki wakimgombania mwanamke

    Sio ntwara,,, ni MTWARA
Back
Top Bottom