Recent content by Pantaleo

  1. Pantaleo

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

    Pole kwa masahibu na changamoto za biashara nakushauri usiache hiyo biashara kwa sababu ya changamoto bali endelea kukomaa kwani changamoto zipo kila mahali penye mafanikio.
  2. Pantaleo

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Serikali ya Mtaa Oysterbay Imefungwa

    Habari wananchi wenzangu ninaomba kuuliza maana sielewe, kwani ofisi za serikali ya mtaa Oysterbay imefungwa? maana toka jana mchana mpaka wakati huu hakuna mtu ofisini na kila nikipiga namba zao hazipokelewi.
  3. Pantaleo

    JamiiForums Tanzania Kilimo Biashara na kampuni ya Namaingo Business Agency

    Aise hata mimi kidogo ningeshawishika kuingia huko ila nilipowapigia nikaambiwa talalile za hapa na pale kweli SERIKALI yetu haina UCHUNGU na wananchi wake nakumbuka DECI serikali ilikuwa inajua fika lakini iliiacha DECI ili waje kuchua hela za wananchi.
  4. Pantaleo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ufugaji wa kuku kwa mkataba

    Habari za masiku wadau, napenda kujua hawa jamaa wa kuku bado wapo?
  5. Pantaleo

    JamiiForums Tanzania Nakodisha shamba kwa wajasiriamali wadogo wanotaka kujaribu Vitunguu

    Mkuu mimi nataka kujua ni msimu upi wa kulima huko ruaha?
Back
Top Bottom