Kama ni sayans ucjal mwez april 2016 utapangiwa kituo chako cha kaz ila kama ni art umeumia tafata namna nyingne ya kuish usitegemee ajira serikalin walimu wanagawana topics kutokana na uwing wao.
Habarin wana jamvi,
Kwa wale walimu wa ajira mpya walioajiriwa mwez may 2015 kuna baadhi take home yao imepungua je ni heslb wameanza kuchukua chao au ndo serikal imeanza kubana matumizi.
Heshima kwenu wanajukwaa, awali wa yote natanguliza shukrani kwa Mwenyez Mungu na wanajukwaa kwa ushirikiano katika kipindi chote ya mihangaiko ya kutafuta kazi takriban mwaka 1 na miez 3 hatimae nmepata kazi katika moja ya halmashaur ya wilaya hapa Tz.
Ila niliripot nikajaza zile form za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.