1. Anaishi karibu sana na Mabeberu.
2. Anaenda nchi za Mabeberu.
3. Anategemea uungwaji mkono wa kisiasa na Mabeberu.
4. Anahisi Mabeberu ndio watu wakuleta maendeleo.
5. Siasa zake sio za maendeleo.
I wonder African Union delays and unable to solve many african problems within Africa until other Europeans and US to intervene African affairs
1. Libya crisis -until Russia, Turkey and other Europeans
2. Ethopia - Egypt crisis on Dams constructions - until US
Historia ya watu Afrika ni chungu sana toka miaka ya zamani sana kwa mfano kupitia kipindi cha utumwa, ukoloni na sasa ukoloni maomboleo, lakini historia ya watu mbalimbali katika sehemu ya dunia ni chungu pia sio tu ya watu wenye asili ya Africa tu.
Yafuatayo ni suluhisho ya ubaguzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.