hii ndio ccm wao kipaumbele ni uchaguzi na jinsi ya kuwashughulikia ukawa..mikakati ya mauaji ktk chaguz nk..lakini maswala ya muhim wao Hanma..eee Mungu tuepushe na hiki chama
Ndugu wana jukwaa nimekuwa nikisikia neno HISA katika biashara ila bado sijabaatika kuipata Elimu hii..Tafadhali mwenye uelewa wa Hisa naomba anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.